Katwangilo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 705
- 693
Magufuli hakuwa mtu wa mchezo,yaani vizazi na vizazi vitamkumbuka Haki!
Yaani alitujulia Waafrika maana tumezoea blaa blaa nyingi na uvivu. Mtu unaenda Ofisni jitu linakuwa na nyodo kama mbuzi,wakati linalipwa kwa kodi yako, kwa Magu ukizogoa tu anakupiga chini wala hakuwa na masihara!
Yaani huyu mzee sjui alienda kwa mganga gani maana akina Kikwete walibakia kupiga vijembe tu lkn hawakuthubutu kukohoa!
Nenda Mwamba,jiwe a real Pan-Africanist, ambaye tayari ulikuwa unaibadilisha SADC kuwa dola jipya la Kiswahili!
Yaani alitujulia Waafrika maana tumezoea blaa blaa nyingi na uvivu. Mtu unaenda Ofisni jitu linakuwa na nyodo kama mbuzi,wakati linalipwa kwa kodi yako, kwa Magu ukizogoa tu anakupiga chini wala hakuwa na masihara!
Yaani huyu mzee sjui alienda kwa mganga gani maana akina Kikwete walibakia kupiga vijembe tu lkn hawakuthubutu kukohoa!
Nenda Mwamba,jiwe a real Pan-Africanist, ambaye tayari ulikuwa unaibadilisha SADC kuwa dola jipya la Kiswahili!