Profesa Lipumba: Viatu vya Hayati Magufuli ni special, kila mtu aliufyata

Tanzania tunaongoza kwa unafiki,kama kungekuwa na Medali tungekuwa tunazizoa kila mwaka.

Huyu Mzee aliyekuwa amepangwa amalize upinzani Visiwani leo anaongea nini yarabi?
Hakuna shaka kuwa wewe hujitambui. Au tuseme aidha una chuki binafsi na Prof. Lipumba au nyie ndo wavurugaji wa harakati za kimageuzi.
 
Kwenye mhadhara wa kudai katiba mpya ulioandaliwa na chama cha wananchi leo wajumbe wamesema lazima kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 twende na katiba mpya na wamemtaka rais Samia kuachana na mambo ya hayati Magufuli kwani hatayaweza.

Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amesema kiatu cha marehemu Magufuli ni special na hamna wa kuvivaa kwani alikuwa kidume kwelikweli na kila mtu aliufyata na kuogopa kabisa.

Lipumba amesema kwa sababu ya hofu hiyo kuna baadhi ya maprofesa wazima walifikia hatua ya kusema wametolewa jalalani.


Hoja yako imetofautia na heading!
Mama Samia Suluhu Hassa tayari ameshavivaa viatu hivyo na vimekuwa vidogo kwake kwani Mwendazake hakuwahi kufika Marekani lakini Mama ameshatoboa mpaka anga hizo!
Otherwise nawapongeza kina Lipumba kwa jitihada za kudai kaiba mpya. Jambo la msingi ni wapinzani kuunganisha nguvu pamoja badala ya kila mmoja kuhangaika pekeake!
 
Binadamu tuishi vyema duniani ili tukifa tukumbukwe kwa wema sio kama hao wengine wanakumbukwa kwa roho mbaya na ukatili.
 
Kwenye mhadhara wa kudai katiba mpya ulioandaliwa na chama cha wananchi leo wajumbe wamesema lazima kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 twende na katiba mpya na wamemtaka rais Samia kuachana na mambo ya hayati Magufuli kwani hatayaweza.

Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amesema kiatu cha marehemu Magufuli ni special na hamna wa kuvivaa kwani alikuwa kidume kwelikweli na kila mtu aliufyata na kuogopa kabisa.

Lipumba amesema kwa sababu ya hofu hiyo kuna baadhi ya maprofesa wazima walifikia hatua ya kusema wametolewa jalalani.


Katiba mpya haiwezi kuwa Katiba ya wanasiasa,sisi wananchi hatuitaki hiyo Katiba ya watawala ni upumbavu..

Hakuna anayetaka kuvaa viatu vya kihuni vya Magu lakini Katiba mpya itasubiri kwani ni matakwa ya ccm na sio Rais Samia..
 
Hoja yako imetofautia na heading!
Mama Samia Suluhu Hassa tayari ameshavivaa viatu hivyo na vimekuwa vidogo kwake kwani Mwendazake hakuwahi kufika Marekani lakini Mama ameshatoboa mpaka anga hizo!
Otherwise nawapongeza kina Lipumba kwa jitihada za kudai kaiba mpya. Jambo la msingi ni wapinzani kuunganisha nguvu pamoja badala ya kila mmoja kuhangaika pekeake!
Ukubwa wa viatu unapimwaje?
 
Mnafiki sana huyo 2025 atapita tena misikitini kumnusuru Hangaya kama alivyofanya kwa JK 2010....
 
Naungana na mama SSH katiba isubiri.
Nasikia harufu ya watu kuupora mchakato mzima. Bora isubiri.
 
Kwenye mhadhara wa kudai katiba mpya ulioandaliwa na chama cha wananchi leo wajumbe wamesema lazima kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 twende na katiba mpya na wamemtaka rais Samia kuachana na mambo ya hayati Magufuli kwani hatayaweza.

Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amesema kiatu cha marehemu Magufuli ni special na hamna wa kuvivaa kwani alikuwa kidume kwelikweli na kila mtu aliufyata na kuogopa kabisa.

Lipumba amesema kwa sababu ya hofu hiyo kuna baadhi ya maprofesa wazima walifikia hatua ya kusema wametolewa jalalani.


Lipumba kafufuka?
 
Huyu huyu aliekuwa anatokwa jasho lililojaa kwenye Shati na viatu vilivyopauka
Kweli watu wanajua kusahau mambo yao au kujisahaulisha sijui
 
Back
Top Bottom