Hakuna shaka kuwa wewe hujitambui. Au tuseme aidha una chuki binafsi na Prof. Lipumba au nyie ndo wavurugaji wa harakati za kimageuzi.Tanzania tunaongoza kwa unafiki,kama kungekuwa na Medali tungekuwa tunazizoa kila mwaka.
Huyu Mzee aliyekuwa amepangwa amalize upinzani Visiwani leo anaongea nini yarabi?