Profesa Lipumba: Rais aondoe zuio la mikutano ya hadhara ya vyama vya Upindani

CUF Habari

JF-Expert Member
Dec 12, 2019
239
234
Kwanza,Rais aondoe zuio la mikutano ya hadhara ya vyama vya Upindani.

Hili litatoa fursa kwa vyama vyote kufikisha sera na itikadi zao kwa wananchi katika kutafuta kuungwa mkono na hivyo kupelekea mazingira tambarare ya Kufanya siasa kwa vyama vyote .

Sheria ya vyama inahitaji vyama vyote viwe na rejesta ya wanachama na viongozi katika ngazi zote za Chama.

Utekelezaji wa kipengele hiki Cha Sheria unahitaji uhamasishaji kupata wanachama na uhakiki wa wanachama katika ngazi zote.

Uhuru wa vyama kukutana na kufanya mikutano ya hadhara ni muhimu katika utekelezaji wa matakwa ya Sheria ya vyama Vyama vya Siasa Sura 258
 
Wanasiasa bana, yani kishanusa kwamba rais mda wowote ataruhusu mikutano, ye anatamka leo, ili rais akitamka kesho kutwa kuruhusu, ionekane ni yeye amemshurutisha rais.
Magufuli hana mpango wo wote wa kuruhusu mikutano ya hadhara ya kisiasa hadi bunge litakapovunjwa July.
 
Magufuli hana mpango wo wote wa kuruhusu mikutano ya hadhara ya kisiasa hadi bunge litakapovunjwa July.
Jpm ni muoga wa mikutano ya hadhara itayofanywa na wapinzani kwa sababu anajua wananchi watastushwa juu ya ukandamizaji unaosababishwa na serikali yake.MAISHA MAGUMU KWA WANANCHI SASA HIVI IKEKUWA KAMA FASHEN KILA MTU YANAMTANDIKA KINAMNA YAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza,Rais aondoe zuio la mikutano ya hadhara ya vyama vya Upindani.

Hili litatoa fursa kwa vyama vyote kufikisha sera na itikadi zao kwa wananchi katika kutafuta kuungwa mkono na hivyo kupelekea mazingira tambarare ya Kufanya siasa kwa vyama vyote .

Sheria ya vyama inahitaji vyama vyote viwe na rejesta ya wanachama na viongozi katika ngazi zote za Chama.

Utekelezaji wa kipengele hiki Cha Sheria unahitaji uhamasishaji kupata wanachama na uhakiki wa wanachama katika ngazi zote.

Uhuru wa vyama kukutana na kufanya mikutano ya hadhara ni muhimu katika utekelezaji wa matakwa ya Sheria ya vyama Vyama vya Siasa Sura 258
Kwa nini aondoe?

Mmempa sababu gani ya kumlazimisha aondoe?

Aondoe kwa sababu anawaogopa?

Aondoe kwa sababu ana roho nzuri sana?

Nyie mmefanya nini kumlazimisha aondoe zuio?

Kwa nini mnahitaji ondoe zuio?

Mmemshitaki mahakamani kwa zuio hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza,Rais aondoe zuio la mikutano ya hadhara ya vyama vya Upindani.

Hili litatoa fursa kwa vyama vyote kufikisha sera na itikadi zao kwa wananchi katika kutafuta kuungwa mkono na hivyo kupelekea mazingira tambarare ya Kufanya siasa kwa vyama vyote .

Sheria ya vyama inahitaji vyama vyote viwe na rejesta ya wanachama na viongozi katika ngazi zote za Chama.

Utekelezaji wa kipengele hiki Cha Sheria unahitaji uhamasishaji kupata wanachama na uhakiki wa wanachama katika ngazi zote.

Uhuru wa vyama kukutana na kufanya mikutano ya hadhara ni muhimu katika utekelezaji wa matakwa ya Sheria ya vyama Vyama vya Siasa Sura 258
Kumbe bado yupo kwenye ulinge wa siasa hata aje na msaafu aseme nini siwezi mwamini tena abadan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza,Rais aondoe zuio la mikutano ya hadhara ya vyama vya Upindani.

Hili litatoa fursa kwa vyama vyote kufikisha sera na itikadi zao kwa wananchi katika kutafuta kuungwa mkono na hivyo kupelekea mazingira tambarare ya Kufanya siasa kwa vyama vyote .

Sheria ya vyama inahitaji vyama vyote viwe na rejesta ya wanachama na viongozi katika ngazi zote za Chama.

Utekelezaji wa kipengele hiki Cha Sheria unahitaji uhamasishaji kupata wanachama na uhakiki wa wanachama katika ngazi zote.

Uhuru wa vyama kukutana na kufanya mikutano ya hadhara ni muhimu katika utekelezaji wa matakwa ya Sheria ya vyama Vyama vya Siasa Sura 258
Tatizo la viongozi wetu wa kitaifa hawatunzi kauli zao wanaweza Sema wame sitaafu siasa baada ya miezi michache tu wanarudi tena ulingoni tena bila aibu kwakifupi ni mwendo wa kujitoa ufahamu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jpm ni muoga wa mikutano ya hadhara itayofanywa na wapinzani kwa sababu anajua wananchi watastushwa juu ya ukandamizaji unaosababishwa na serikali yake.MAISHA MAGUMU KWA WANANCHI SASA HIVI IKEKUWA KAMA FASHEN KILA MTU YANAMTANDIKA KINAMNA YAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora asiruhusu mikutano ya siasa! Maana akiruhusu tu ! Mikutano ya vyama vya siasa mahakama za Tanzania zitakumbwa na mafuriko makubwa sana ya Kesi za Uchochezi kwa Wana siasa wa upinzani.
 
Back
Top Bottom