Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,439
- 12,294
Prof Ibrahim Lipumba azomewa wanachama wa CUF huko Ruangwa mkoani Lindi , wavunja ofisi aliyo fikia Lipumba aokolewa na Polisi,, muda huu ,mamia ya wanachama washangilia mitaani huku wakiimba nyimbo za kumkashifu :Hatukutaki kibaraka wa CCM.
Jitihada zinafanyika ili kupata taarifa za kina kutoka kwa viongozi wa CUF wilayani humo kwani mpk sasa simu zao hazipokelewi.
www.facebook.com/search/top/?q=julius%20s%20mtatiro%20posts
Jitihada zinafanyika ili kupata taarifa za kina kutoka kwa viongozi wa CUF wilayani humo kwani mpk sasa simu zao hazipokelewi.
www.facebook.com/search/top/?q=julius%20s%20mtatiro%20posts