CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
SHINYANGA
Mgombea Urais CUF, Prof.Ibrahim Lipumba amesema atakapoingia madarakani atarekebisha muundo wa elimu na kuboresha maslahi ya walimu kwa kuwa walimu ndio wanaotengeneza rasilimali watu wenye tija wanaoweza kuiwezesha nchi kufikia uchumi wa juu.
CHAGUA CUF,
MCHAGUE PROF.LIPUMBA