Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 229
Profesa Lipumba - rejea mdahalo wako ITV: Kipi kichuguu na upi mlima?
Profesa Lipumba - rejea mdahalo wako ITV: Kipi kichuguu na upi mlima?
Profesa Lipumba - rejea mdahalo wako ITV: Kipi kichuguu na upi mlima?
ha ha ahaaaaaa mmeanza kutafunana wenyewe kwa wenyewe , mie huko sipo sio upande wangu. Ila nawashauri wapinzani nyie wote muungane muwe kitu kimoja, umoja ni nguvu........................la sivyo ccm itawabwaga kila uchaguzi
Ni kweli kabisa muungano wa CUF na wapinzani wengine hautakuwa na maana yoyote baada ya CCM na CUF kuingia mwafaka wa Zanzibar. Bila shaka wengi hawata unga mkono jambo hili. Lakini huu ndio ukweli
Napenda kuongezea hapa kwa kifupi namjibia profesa kama ningelikuwa ni yeye:Profesa kaonyesha ukakamavu wakisiasa,CUF INA VITI 24 & CHADEMA 22 NANI MLIMA?, ILA SLAA NI MCHANGA KISIASA,BORA AGOMBEE UBUNGE 2