Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,824
- 33,210
Huu muda angeutumia kuwafundishha watu kujikwamua kiuchumi badala ya kuropoka senseless statements, kwahiyo wasio na ndugu au uwezo wa kufika huko wafe kivyaoAkizungumza na waandishi baada ya kutoka kupata chanjo hiyo amesema amejikuta akipata nafasi hiyo kupitia mke wake, Gojina Mtenga, anayefanya kazi Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na Watoto Duniani(Unicef), Cox Bazaar nchini Bangladesh.