Mkuu wa Chuo mwenye ekimu kiwango cha Professa ataweza kuikwamua Chuo cha Kumbukumbu ya Mwl Nyerere Kigamboni ili kiwe Chuo cha mfano Afrika Mashariki na Kati.Wahusika wangezingatia hilo kwani Chuo hicho kina Hostoria ya kuwatoa viongozi wa nchi. Chuo hicho bado hakina Mkuu wa Chuo kutokana na aliyekuwepo kumaliza muda wake. WanaJF mnaoifahamu Chuo hicho mna maoni gani juu ya hili kwa mamlaka husika?