thuma
JF-Expert Member
- Nov 2, 2016
- 369
- 496
Mkuu umeguswa nn mbona unatokwa povu bila mpango?Wewe ni mnafiki kama wanafiki wengine maana hata unalo tetea hujalitafakari .
Mkuu umeguswa nn mbona unatokwa povu bila mpango?Wewe ni mnafiki kama wanafiki wengine maana hata unalo tetea hujalitafakari .
Sija taja uha wala uchaga mahali popote rudia kusema mkuuMuha mwenzako
Kama ulivyododa weweUzi hauna mvuto wala mashiko umedoda
Pole mkuu kumbe nawewe ni mmoja wa wahanga? Hapa no shortcut fuateni kanuniKakutuma...mwambie anaharibu elimu tu...bora hata shukuru kawambwa. Jk alikuwa smart kumuondoa pale baraza sababu ikiwa ni ubishi na ujuaji.. Mhe Rais mtoe huyu mama atakuharibia nchi na elimu..anavyosimamia hata havieleweki..!
Nawewe division form four nini mkuu?Akina lizaboni mpo wengi humu
Kwani nchi haina dira mkuu?Mimi sitamani....mpaka tutakopokuwa na dira kama nchi ili kila kiongozi asije na maamuzi yake binafsi......
......mi sijasema mkuu.....Kwani nchi haina dira mkuu?
Napenda utendaji wake ni mtu anayejua wajibu wake, kwa sasa sioni waziri anayemfanania.
Nimejikuta nikitamani kumuona akiwa rais siku moja.
Mkuu huoni hata aibu , ww peke ndio unaotetea huyu mamaPole mkuu kumbe nawewe ni mmoja wa wahanga? Hapa no shortcut fuateni kanuni
Kat ya 4 we ndo mmoja wapo