Profesa Kitila Mkumbo: Serikali ipanue barabara ya Dar-Moro-Dodoma ili kupunguza ajali, magari ni mengi kwa sasa

Sambamba na hilo, kukamilika kwa SGR Dar - Mwanza na Tabora - Kigoma na kuja kuendeshwa vema kutachangia kupunguza sana idadi ya malori katika barabara hizo. Ilimradi SGR haitaendeshwa kihasara hasara kama TRC na Tazara.
Halafu wenye malori wafanyeje Malori yao? Wayapaki?
 
Sambamba na hilo, kukamilika kwa SGR Dar - Mwanza na Tabora - Kigoma na kuja kuendeshwa vema kutachangia kupunguza sana idadi ya malori katika barabara hizo. Ilimradi SGR haitaendeshwa kihasara hasara kama TRC na Tazara.
Tulio na malori 500+ tutayafanyia nini ikiwa SGR itakamilika ndugu!!??
Juzi tu tumeingiza lori 100 mpya.
 
Napinga ushauri wa Kitilla Mkumbo , ubovu wa magari ya kubeba makontena asiuhusishe na barabara , labda kama anataka malori yajengewe barabara zake
 
Yakisafirishwa kwa njia ya reli je wenye magari ya mizigo wakabebe nini?
Kama lengo ni kupunguza ama kuiondosha ajali ingelifaa wajikite kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa chanzo Cha tatizo barabara T1.


Wenye malori na TRC Reli pia Tazara wafanye kazi kwa pamoja, kwa kutumia reli ya mkoloni iliyopo na hata baadaye hiyo reli Mpya ya SGR itakapikamilika:

Mfano:


The KRC came with concept of RORO, where loaded trucks are moved on wagons and are travelled by train. This has helped in saving of fuels, decrease in wear and tear of lorries (trucks), relief to drivers of driving in extreme conditions, can reach faster to destination. This also helps in decongestion of roads and lowering of pollution. This concept has been beneficial for both truck operators and KRCL
 
Mfumo wa intermodal wa usafrishaji makontena unaohusisha meli, bandari, malori kubeba mizigo huku wakishirikiana hivyo kuharakisha kufikisha mizigo na pia kupunguza barabara kutumika zaidi hivyo kusababisha foleni, ajali na uharibifu wa barabara kuu huku sekta zote yaani bandari, reli na malori ya mizigo yakiendelea kufaidika kiuchumi na kibiashara.




rail intermodal is generally uncompetitive with trucking when the lengths of haul are shorter than about 500 miles. When the lengths of haul are shorter than 500 miles, the truck has an even more distinct service advantage since the entire truck haul can be done in one day. In addition, when lengths are haul is short, the cost advantage that rail intermodal typically enjoys diminishes because there are fewer lower-cost railroad miles to offset the cost of running trucks out of route, which is typically done in rail intermodal moves. Read more : What is rail intermodal?
 
Mkuu
Ambako reli hazifiki mbona zipo sehemu nyingi tu.
🤣🤣🤣🤣🤣 .......nilikuwa natoa tu tahafhari mkuu manake haohao wenye malori na mabasi ndo waliohakikisha treni za mizigo na abiria zinakuwa kaputi one for good.
 
Back
Top Bottom