Its very unfortunate the answers are on his desk. Asitudanganye hapa, kina vitu vingine ukivigusa automatically affects goods prices. Azungumze na jirani yake Waziri wa fedha.Atachunguza nini na atamchungza nani ni siri ambayo wewe na mimi hatujui, na kama baada ya uchunguzi huo tutapewa majibu au itabaki kuwa siri yake kama moto wa soko la kariakoo ulivyobaki kuwa siri ya waziri mkuu, hakuna ajuaye.
View attachment 2023283
Chanzo : ITV
Umeme wenyewe haueleweki na mafuta kila siku yana panda so lazima vitu vipande.Waziri wa viwanda na biashara Prof Kitila Mkumbo ametolea ufafanuzi taarifa zinazozagaa mitandaoni kwamba bei za Vifaa vya ujenzi zimepanda.
Kitila amesema viwandani ambako ndiko bidhaa zinakozalishwa bei hazijapanda ziko vile vile so kama kuna maeneo machache bei ziko juu basi itakuwa ni zinaongezwa na Wasambazaji isivyo halali.
View attachment 2022782
Ahsante kwa muongozo.
Prof. wa education bro, mambo ya uchumi na biashara wapi na wapi hii ni bongoland. Just going circles as usual.Huyu naye ni Profesa kweli? Mbona anatia aibu hivi? Hivi unapopandisha kodi kwenye mafuta unategemea nini? unapoweka kodi kwenye bidhaa unategemea nini? Sasa hili nalo linahitaji ucuhunguzi kweli jamani?
Ahamie Umoja Party Ili wawe wanapamga bei wao..Waziri wa viwanda na biashara Prof Kitila Mkumbo ametolea ufafanuzi taarifa zinazozagaa mitandaoni kwamba bei za Vifaa vya ujenzi zimepanda.
Kitila amesema viwandani ambako ndiko bidhaa zinakozalishwa bei hazijapanda ziko vile vile so kama kuna maeneo machache bei ziko juu basi itakuwa ni zinaongezwa na Wasambazaji isivyo halali.
View attachment 2022782