Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,467
Alikuwa akiipeleka huku kila mtu njiani akiiona?Huku ni kujitafutia kiki tu.
Kama alinyang'anywa hiyo barua, kwa nini akuandika nyingine? Kwani alinyang'anywa mawazo aliyokuwa nayo?
Alikuwa akiipeleka huku kila mtu njiani akiiona?Huku ni kujitafutia kiki tu.
Kama alinyang'anywa hiyo barua, kwa nini akuandika nyingine? Kwani alinyang'anywa mawazo aliyokuwa nayo?
Hiyondiyo siasa.Alikuwa akiipeleka huku kila mtu njiani akiiona?
Wewe hizo contract negotiations tangu uzaliwe mpaka leo hii imeshazifanya ngapi?.When Kabudi addresses an audience you’d be forgiven to assume he was giving a church sermon to a Christian audience rather than speaking as a national minister.
Who recommends these bozzos to senior posts.
Hakuna mtu mwenye akili zake timamu atamtuma Kabudi kufanya contract negotiation ni serikari ya Tanzania tu.
Kabudi alikuwa amefanya mingapi kabla ya kupewa kazi? Vinginevyo kwa Tanzania kila mtu anaweza kama yeye kaweza.Wewe hizo contract negotiations tangu uzaliwe mpaka leo hii imeshazifanya ngapi?.
FUTUHIiiiiiiiAngeiattach kwenye email napo ingechanwa, angemtumia msigwa kwa wasapu...
Ze komedy
Ni mbwembwe tu za kiototo za viongozi wa awamu hii. Si unakumbuka mkubwa wao alisema alikuwa anabeep tu simu ikapiga kabisa na sasa yupo ofisi kuu. Mara akasema mimi sikutaka ila watu fulani wakanisukumiza kwenye ofisi ya cheo alicho nacho.Huku ni kujitafutia kiki tu.
Kama alinyang'anywa hiyo barua, kwa nini akuandika nyingine? Kwani alinyang'anywa mawazo aliyokuwa nayo?
Hayo macho kuna siku yatadondoka chini
Lugola alikuwa anamsifia mzee hadi anatoa macho. Leo anamsonya taratibuuuuu.....Namshauri mzee wetu aunde tume ya kumchunguza huyu jamaa maana hawa waimba mapambio kuna vitu wanakuwa wanaficha kama ilivyothibika kwa Lugola