Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Kwa nyuma kule namuona Chakubanga enzi hizo alikua bado anazo akili.Huyu ni Kabudi kabla hajasaliti nchi akipigania kwa nguvu zote katiba mpya na mzee warioba.Hawa ndiyo CCM wanaojinadi kuwa wana nia ya dhati ya kutuvusha kwenda Kanaani!
View attachment 1838646