Barakoa imemkaa vizuri! Wakiwa na sisi huku wanasema hawavai barakoa. Huyu akirudi huku sharti avae barakoa ili asituambukize Corona na mimate yake itokayo kwenye domo lake lile kubwaMasuala ya uwekezaji yametoka wapi, mmepaniki kumuona walahi, uwekezaji? Nani kakwambia kafuata masuala ya uwekezaji, wachawi roho zinawauma kumuona jamaa anatembea.