Profesa Kabudi awasili Nchini Ufaransa kwa ziara ya kikazi

Masuala ya uwekezaji yametoka wapi, mmepaniki kumuona walahi, uwekezaji? Nani kakwambia kafuata masuala ya uwekezaji, wachawi roho zinawauma kumuona jamaa anatembea.
Barakoa imemkaa vizuri! Wakiwa na sisi huku wanasema hawavai barakoa. Huyu akirudi huku sharti avae barakoa ili asituambukize Corona na mimate yake itokayo kwenye domo lake lile kubwa
 
Barakoa imemkaa vizuri! Wakiwa na sisi huku wanasema hawavai barakoa. Huyu akirudi huku sharti avae barakoa ili asituambukize Corona na mimate yake itokayo kwenye domo lake lile kubwa
Huna hoja jamaa, kajipange upya
 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) jana aliwasili nchini Ufaransa na kupokelewa na mwenyeji wake Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa. Jean Yves Le Drian

View attachment 1706279View attachment 1706280
Baada ya reli ya kati mpya kujengwa, Total ndiyo inajenga pipeline ya uganda na ilinunua BP za zamani Ufaransa inaona Tanzania ni muhimu kwa mambo yake.
 
Mkuu, Bora hata Chama Lao livyofyekwafyekwa!! Liwe limefyekwa Kwa njama au kihalali, saaaafi kabisa
Watu wanafanya kazi, mnawasingizia wa naugua, wakiendelea na kazi zao, eti wamesemwa sana, wameamua kutoka, wapuuzi sana nyinyi watu
[/QUOTE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom