2020 ni MembeView attachment 964163
Profesa Kabudi atembelea Ihumwa kukagua ujenzi wa ofisi za wizara ya katiba na sheria
Bora wakakae machakani huko Na majoka , JIWE kaona juhudi kubwa za wakubwa waliomtangulia kuandaa miundombinu yote muhimu jijini Dar haikuwa Na maana , yeye ndio ana ana Akili kuliko waoNaona anachekelea tu.. muda wa kula huu, Kabudi huyu sio yule wa Mabadiliko ya Katiba tena, Tena ukimkumbushia zile habari mnagombana kabisa...usicheze na tumbo bana
Kile kiapo alichokula Mbele ya Mh Rais wakiwa wamezungukwa na vyombo vya ulinzi na usalama unanikumbuka alisemaje?Naona anachekelea tu.. muda wa kula huu, Kabudi huyu sio yule wa Mabadiliko ya Katiba tena, Tena ukimkumbushia zile habari mnagombana kabisa...usicheze na tumbo bana
Mgogo hataki kuhamia kwao Dodoma.View attachment 964163
Profesa Kabudi atembelea Ihumwa kukagua ujenzi wa ofisi za wizara ya katiba na sheria
Nikiwaona hawa wazee waliosomeshwa na Nyerere bure,wakapitishwa JKT,eti kujenga uzalendo,napata shida sana,sasa HV ni mwendo wa kula bata tu,hizi story kwamba ukipita JKT unakuwa mzalendo,ni story za abunuwasi tu,hata wanangu siwaambii hizi story,View attachment 964163
Profesa Kabudi atembelea Ihumwa kukagua ujenzi wa ofisi za wizara ya katiba na sheria
Naona anachekelea tu.. muda wa kula huu, Kabudi huyu sio yule wa Mabadiliko ya Katiba tena, Tena ukimkumbushia zile habari mnagombana kabisa...usicheze na tumbo bana
View attachment 964163
Profesa Kabudi atembelea Ihumwa kukagua ujenzi wa ofisi za wizara ya katiba na sheria
nami sioni kama wewe mkuu, ni ofisi au sehemu ofisi itakapojengwaZiko wapi hizo ofisi?
Kwa kadiri ya uchunguzi wangu mdogo , kwa sasa huyu ndio binadamu anayedharaulika zaidi nchini Tanzania , sijajua ni kwaniniView attachment 964163
Profesa Kabudi atembelea Ihumwa kukagua ujenzi wa ofisi za wizara ya katiba na sheria
Tena ukitaka akutumbulie macho huku povu likifoka mkumbushie swala la katiba mpya, mzee anakua mkali hapo utadhani umemgusa kende zake au jipu anaweza akakumeza.Naona anachekelea tu.. muda wa kula huu, Kabudi huyu sio yule wa Mabadiliko ya Katiba tena, Tena ukimkumbushia zile habari mnagombana kabisa...usicheze na tumbo bana
Kwa kadiri ya uchunguzi wangu mdogo , kwa sasa huyu ndio binadamu anayedharaulika zaidi nchini Tanzania , sijajua ni kwanini