jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,034
- 28,201
Profesa kabudi kapindua meza haswa !
Mpango mkakati wakina lissu na wazungu wavurugaji wa mataifa ya afrika kutaka kuichafua Tanzania umekwama na Tanzania kama Taifa limesimama upya mbele ya mimbari ya kimataifa.
Vibaraka wamehangaika sana na wameendelea kuhaingaika kuiporomosha amani ya Tanzania bila mafanikio.
Lissu ameingia kwenye kundi la kina Mange yaani waliojaribu na kufail kwa fedheha.
Tanzania imekuwa imara na mfano wa kuigwa duniani...
It is business unusual...!!!
Wakora wanaotaka kuleta mradi wa kukabili ebola wameangukia pua big time...Tanzania imewajibu kuwa inaboresha afya ya msingi kwa wote kivitendo na inaionesha dunia kuwa inawezekana.
Magufuli kaletwa kufanya kazi sio kupendwa na walami au mafisadi.
Chaguo langu limekuwa sahihi maradufu...kazi na matokeo ya kazi yanaonekana na wananchi wanakiri !
hivi punde mzalendo mimi nitaenda kuhuisha kadi yangu ya CCM.
VIVA JPM ALUTA CONTINUA!!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Mpango mkakati wakina lissu na wazungu wavurugaji wa mataifa ya afrika kutaka kuichafua Tanzania umekwama na Tanzania kama Taifa limesimama upya mbele ya mimbari ya kimataifa.
Vibaraka wamehangaika sana na wameendelea kuhaingaika kuiporomosha amani ya Tanzania bila mafanikio.
Lissu ameingia kwenye kundi la kina Mange yaani waliojaribu na kufail kwa fedheha.
Tanzania imekuwa imara na mfano wa kuigwa duniani...
It is business unusual...!!!
Wakora wanaotaka kuleta mradi wa kukabili ebola wameangukia pua big time...Tanzania imewajibu kuwa inaboresha afya ya msingi kwa wote kivitendo na inaionesha dunia kuwa inawezekana.
Magufuli kaletwa kufanya kazi sio kupendwa na walami au mafisadi.
Chaguo langu limekuwa sahihi maradufu...kazi na matokeo ya kazi yanaonekana na wananchi wanakiri !
hivi punde mzalendo mimi nitaenda kuhuisha kadi yangu ya CCM.
VIVA JPM ALUTA CONTINUA!!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA