Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Mbunge wa Kasulu Mjini Profesa Joyce Ndalichako ameahidi kulipa ada ya kidato cha tano na sita wanafunzi wote wa kike waliosoma katika shule za serikali na kupata Daraja la kwanza katika jimbo lake kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka huu 2021.
Mbunge wa Kasulu Mjini na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako ameahidi kutoa Shilingi Milioni Mbili kwa ajili ya kutunusha mfuko wa kutoa motisha kwa walimu waliofanya vizuri katika mitihani ya mwisho ya kumaliza elimu ya Msingi na Sekondari Katika Halmashauri ya Kasulu Mji