Profesa Jay ndo Mwana hiphop bora wa muda wote Afrika Mashariki

Beira Boy

JF-Expert Member
Aug 7, 2016
17,896
25,941
Aman iwe juu yenu

Yes is onether Friday siku ya kufurah na kuenjoy

Ngoja niende kwenye maada moja kwa moja au siyo mazee

Anaitwa Joseph haule ni msanii na mbunge wa mikumi

Bila Shaka watu wote tunamfaham huyu jamaa.

Kwa sisi wapenda burudan tunajua fika kabisa kuwa huyu jamaa ndo kafanya mziki wa rap wa kufoka foka kupendwa na wazee, akina mama na watoto

Huyu mwamba ana heshima sana kwetu sisi wanahiphop aman kwake.

Bila ubishi kabla yake kutoka kimziki kuna wanahiphop wengi walitoka kabla yake na hata baada ya yeye kutoka kuna wanahiphop wengine pia wametoka aman kwake mtu huyu

Bila kupinga huyu jamaa ndo mwanahiphop bora wa mda wote hajawah tokea wanahiphop wa kumtingisha huyu jamaa. Huwa wanakuja wanatamba kivyao na wanapotea kivyao. Aman kwake mtu huyu


Profesa wewe ndo mwanahiphop bora wa mda wote aman kwako kamanda



LONDON BOY
3X6A2871-660x330.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom