kwamtu mwenye presha ya kupanda ni sumu mkuu na ndo maana mtu presha ikipanda anapewa dawa anaenda kukojoa mara kwa mara ndo anapata unafuu ha haaa mkuu kwani hujui presha ya kupanda ikoje?Mnakoelekea mtasema maji nayo ni sumu
ila sijaelewa ha haaaaaThe starting point should be awareness of what carbohydrate does in your body and you get enough of it in your main meals, you don’t need sugar in your tea and coffee.
Ningumu kubadilika ghafla lakini unaweza kuanza kuishi in moderation, punguza nusu ya ugali na wali unaokula, ongeza mboga kwenye sahani.kwa wale ambao tumewahi kuangalia postmortem kitu kinachokuw akwenye mwili wa mtu ambaye ni mnene huwa hakiangaliki ni mafuta tumbo lote, kwenye moyo, kwenye figo. kwenye utumbo mkubwa na mdogo na madaktari wengi wakati wanafanya wanaanzaelezea chanzo cha kifo pia kama alikuwa na tatizo jingine wengi huonekana wanamoyo mkubwa, figo huanza kuwa na matatizo hata kama ilikuwa haijaripotiwa kama ugonjwa, pia maini huw ana kasoro kutokana na fat liver ambayo ni chanzo cha pombe kwahiyo ni swala lakuangalia vyema na kula kwa kulinda afya zetu si mpaka tupate matatizo ndo tuanze kimbizana na madaktari na hosipitali kukikinga ni rahisi ila matibabu ni ghali sana
kwa wale ambao tumewahi kuangalia postmortem kitu kinachokuw akwenye mwili wa mtu ambaye ni mnene huwa hakiangaliki ni mafuta tumbo lote, kwenye moyo, kwenye figo. kwenye utumbo mkubwa na mdogo na madaktari wengi wakati wanafanya wanaanzaelezea chanzo cha kifo pia kama alikuwa na tatizo jingine wengi huonekana wanamoyo mkubwa, figo huanza kuwa na matatizo hata kama ilikuwa haijaripotiwa kama ugonjwa, pia maini huw ana kasoro kutokana na fat liver ambayo ni chanzo cha pombe kwahiyo ni swala lakuangalia vyema na kula kwa kulinda afya zetu si mpaka tupate matatizo ndo tuanze kimbizana na madaktari na hosipitali kukikinga ni rahisi ila matibabu ni ghali sana
sawa kabisa mkuu ni wakati wa kujijaliSiyo postmoterm tu. Hata vi-operation vidogo kama ya kidoletumbo. Watu wanene, utumbo huwa umezibwa sehemu kubwa na mafuta. Na ni kazi kukiona kidoletumbo wakati wa operesheni.
Suubhanallah! Tunazungumzia janabi kaka sio janabaLabda apikiwe na wema sepetu maana kuna wakati alikuwa anamchomea samaki vzr KBS kila upande yaan huku na huku
Prof nadhani anazungumzia kada Yao maana kiuhalisia kwa maisha ya watz ni ngumu sanaHawa watu wanaozungumziwa ni wa kada zipi? Je inahusu na sisi tunaosaidia fundi kupandisha tofali juu ili zijengwe?
Ni vyakula gani vinaongeza insulin?na insulin ni nini hasa na ikiongezeka inaleta madhara gani?alichozungumza kinaukweli kwa asilimia kubwa sana ila swala ambalo hakuliweka bayana ni kwavipi mtu utaweza kukaa bilakusikia njaa muda mrefuu, ni kwamba vyakula vingi vya mafuta na protini ukila usikii njaa kwa muda mrefu mfano ukila karanga,samaki, nyama unakuwa we ni mtu wa maji tuu na njaa inakuwa mbali, pia huwa havipandishi insulin kwa kiwango kikubwa
mkuu elimu ni pana ila insulin inazalishwa na mwili pia ulaji wa mara kwa mara inasababisha mwili kuzalisha insulini ila vyakula vingi vya wanga na sukari ndivyo vinafanya mwili unamwaga insulin kwawingi mwilinin na sukar ikiwa mwilini kwawingi insulin inachelewa kushuka ambako inapelekea madhara kwenye mishipa ya damuNi vyakula gani vinaongeza insulin?na insulin ni nini hasa na ikiongezeka inaleta madhara gani?
Mafuta mazuri ni ya nazi ama olive oil, ya kawaida mazuri ni alizeti kama Sunola au Sundrop. Sema yako vere vere expensive. Kwa kweli kuishi kwa diet ni gharama. Imagine utahitaji samaki mkubwa kiasi gani ili ujiskie kushiba. Uthitaji kuku wa kienyeji kiasi gani. Kwa mtu wa kipato cha elfu 10 per day anamudu vipi hio diet. Wacha tupambane na ugali maharage tu afterall kila mtu atandanja one day!Sasa wakuu na mafuta yakupikia mazuri tupikie mafuta gani