Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,938
- 25,279
Depopulation, dunia inasafishwa !Nimesoma na binti yake.
Aisee washua za marafiki zangu wengi wana dondoka yani mpaka naogopa. Daaah
Dear God, tusamehe tunapokosea.
Depopulation, dunia inasafishwa !Nimesoma na binti yake.
Aisee washua za marafiki zangu wengi wana dondoka yani mpaka naogopa. Daaah
Dear God, tusamehe tunapokosea.
Nimeshajiandikisha mkuu bila shaka kwa miadi ya kesho:Mkuu umeshachanja?
Unauliza makofi chini ya polisi wa Sirro mkuu?Saivi ni msimu wa TANZIA tu. Nini kimemuuwa?
Atakua kaachwa na duniaUnauliza makofi chini ya polisi wa Sirro?
Hata anaelewa basi huyo, kanishangaza kweli et kifo cha mzee kama hivyo anahusisha na kuchelewa kwa chanjo! au anajua Wazee wetu wanaishi hadi miaka mia, huyo Mzee Mwinyi tu hapo tunaona ana umri mrefu sana.Jinga sana hilo. Halafu vifo vingi vya wazee sijui alitaka waishi mpaka miaka mingapi
Depopulation, dunia inasafishwa !
Na hao ndio wanazingatia kweli kujikinga na corona, sijui tatizo lipo wapi.Nimesoma na binti yake.
Aisee washua za marafiki zangu wengi wana dondoka yani mpaka naogopa. Daaah
Dear God, tusamehe tunapokosea.
Hata anaelewa basi huyo, kanishangaza kweli et kifo cha mzee kama hivyo anahusisha na kuchelewa kwa chanjo! au anajua Wazee wetu wanaishi hadi miaka mia, huyo Mzee Mwinyi tu hapo tunaona ana umri mrefu sana.
Dunia inasafishwa kwa sababu tu ya upumbavu wetu.
What a shame?
We have made ourselves a laughing stock!
Kituko cha dunia.
Kuna uzi humu unazungumzia vifo vya watu waliyokufa kwa corona hali ya kuwa wameshapata dozi mbili za chanjo za corona, sasa cha kushangaza utetezi wao wanakwambia hao watu walikuwa na magonjwa yao mengine mara sijui walikuwa wazee sana sijui chanjo hazizuii kifo.Utadhani huko kwenye chanjo watu hawafi.
Hongera mzee !Ninasubiria miadi kupata haki yangu:
#COVID19 - Chanjo - Mrejesho: Wizara tambueni changamoto hizi
Mrejesho - day 1 (2nd Aug): Nitapata chanjo yangu inshallah pamoja na washirika wangu makwetu. Hili si zoezi la kukosa mimi na wote niwapendao. Hayawi hayawi hatimaye huenda yatakuwa. Tumefika kujiandikisha 08:00: wenye magonjwa mengine na wazee 50+ kwa mujibu wa waraka wa wizara. Karibu...www.jamiiforums.com
Cc: Kinyungu
Hiko ni kiarabu ambako kwa kiswahili inakuwa "Sisi sote ni waja wa Mungu na kwake tutarejea" na kwa lugha ya malkia ni "We all belongs to God and to him shall we return".Hapo nadhani nimekata kiu yakoSorry, hivi hii hua ni lugha gani na ina maana gani mkuu?
Wote ni wa mwenyez Mungu na kwake tutarejeaSorry, hivi hii hua ni lugha gani na ina maana gani mkuu?