Kurzweil JF-Expert Member May 25, 2011 6,622 8,397 Oct 30, 2018 #1 Rais Magufuli amemteua Profesa Humphrey Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume hiyo kuanzia leo Oktoba 30, 2018 Prof. Moshi ni Mhadhiri Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM)
Rais Magufuli amemteua Profesa Humphrey Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume hiyo kuanzia leo Oktoba 30, 2018 Prof. Moshi ni Mhadhiri Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM)
swissme JF-Expert Member Aug 15, 2013 13,662 19,880 Oct 30, 2018 #4 Teuwa tengua nunua wapinzani uwa ndio kazi uliyotumwa na watanzania Swissme
muda wa ukombozi Senior Member Jun 28, 2013 127 116 Oct 30, 2018 #5 Hongera sana prof. hv ni majina kufanana au.......... nakumbuka mheshimiwa kuna mradi haukufunguliwa pale mkwawa Kwsb kuna prof. alifanya ubadhirifu
Hongera sana prof. hv ni majina kufanana au.......... nakumbuka mheshimiwa kuna mradi haukufunguliwa pale mkwawa Kwsb kuna prof. alifanya ubadhirifu