TANZIA Prof. Wamba Dia Wamba afariki dunia

RIP Prof.Wamba Dia Wamba..hyu alikuwa ni msomi alietumia elimu yake kuichalenge Serikali ya Mobutu Seseko Zanga wa Banga. Namkumbka Udsm na RTD Enzi hizo alikua akialikwa kwenye Makala kama za Mzee Simbeye siku hizi.serikali nyingi duniani hazipendi wasomi wazikosoe hata Wamba Mobutu alimwona kama mwaasi kwsabb tu hyu Prof alikua akiandika against utawala wa Mobutu.
RIP PROF.WAMBA ila baadhi ya wanazuoni wenzako wamebaki kuunga serikali Vyeti vyaoo vimefichwa tumboni.!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
R.I.P Pof.

Nakumbuka kamati yetu ya Free Wamba dia Wamba pale Mlimani iliyoongozwa na Prof. Ken Edwards (Mghululi) R.I.P, Prof. Horace Campbell, na Ebehard Chambulikazi R.I.P.
Hizo zilikuwa enzi.
Prof. Horace Campbell mjamaika huyu na pan-africanist mzuri sana
 
PROMINENT Congolese scholar and former University of Dar es Salaam History lecturer Prof Ernest Wamba dia Wamba has passed away in Bunia, Democratic Republic of Congo.

Until Thursday morning, there were no more details about his death.

In 1980, the demised Wamba accepted a position as Professor of History at the University of Dar es Salaam in Tanzania.

He was arrested by the government of Mobutu Sese-Seko in 1981 over possession a paper he had authored that was deemed 'subversive', and was detained for a year.

The academician continued his role as a prominent figure in both academia and African politics.
Kwahiyo hata akifa prof huko msumbiji mtaleta Tanzia hapa? Aisee..
 
Roho imeniuma sana sababu nlishawahi pata lectures zake nikiwa udsm miaka hiyo na jamaa zangu wawili wamo humu. Miaka hiyo nafanya masters. Prof alikuwa na madini sana na tulimpenda.sema tu alianza naye kuingiwa na tamaa...otherwise angebak udsm aendelee kupiga pindis mbalimbali za historia na siasa pia.


Mimi nikadhani alikuwa mtaalamu wa masomo ya sayansi!!!
 
PROMINENT Congolese scholar and former University of Dar es Salaam History lecturer Prof Ernest Wamba dia Wamba has passed away in Bunia, Democratic Republic of Congo.

Until Thursday morning, there were no more details about his death.

In 1980, the demised Wamba accepted a position as Professor of History at the University of Dar es Salaam in Tanzania.

He was arrested by the government of Mobutu Sese-Seko in 1981 over possession a paper he had authored that was deemed 'subversive', and was detained for a year.

The academician continued his role as a prominent figure in both academia and African politics.
Nampa pole nyingi Madame Helen umekaa sana Africa almost 40 years. Nadhani hautarejea America
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom