Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,056
- 18,404
Mods mnawaona hao mapoyoyo wawili? Hayana adabu piga ban.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Unajifanya unajua kuandika sio?
Wewe ni mpuuzi sana. Ukiendelea kuwashwa nitakukuna.Najua kusoma na kuandika tu,mengine siyajui..
Wewe ni mpuuzi sana. Ukiendelea kuwashwa nitakukuna.
Dah Horace a edward alifariki? Mwisho kuonana naye ni miaka ya mwanzoni tisiniR.I.P Pof.
Nakumbuka kamati yetu ya Free Wamba dia Wamba pale Mlimani iliyoongozwa na Prof. Ken Edwards (Mghululi) R.I.P, Prof. Horace Campbell, na Ebehard Chambulikazi R.I.P.
Hizo zilikuwa enzi.
Horace Campbell yupo Marekani lakini Ken Edwards alishafariki. Wewe hiyo hashish ishakuchengua.Dah Horace a edward alifariki? Mwisho kuonana naye ni miaka ya mwanzoni tisini
Prof. Horace Campbell mjamaika huyu na pan-africanist mzuri sanaR.I.P Pof.
Nakumbuka kamati yetu ya Free Wamba dia Wamba pale Mlimani iliyoongozwa na Prof. Ken Edwards (Mghululi) R.I.P, Prof. Horace Campbell, na Ebehard Chambulikazi R.I.P.
Hizo zilikuwa enzi.
Kumbe mtambuka umekula chumvi. Tafadhali fanyia edit avatar yako ili upewe heshima stahikiR.I.P Pof.
Nakumbuka kamati yetu ya Free Wamba dia Wamba pale Mlimani iliyoongozwa na Prof. Ken Edwards (Mghululi) R.I.P, Prof. Horace Campbell, na Ebehard Chambulikazi R.I.P.
Hizo zilikuwa enzi.
Kwahiyo hata akifa prof huko msumbiji mtaleta Tanzia hapa? Aisee..PROMINENT Congolese scholar and former University of Dar es Salaam History lecturer Prof Ernest Wamba dia Wamba has passed away in Bunia, Democratic Republic of Congo.
Until Thursday morning, there were no more details about his death.
In 1980, the demised Wamba accepted a position as Professor of History at the University of Dar es Salaam in Tanzania.
He was arrested by the government of Mobutu Sese-Seko in 1981 over possession a paper he had authored that was deemed 'subversive', and was detained for a year.
The academician continued his role as a prominent figure in both academia and African politics.
Lakini michango yao humu JF ni kama watoto wa Chekechea huku mavuz* yao yameshaota mvi.
Roho imeniuma sana sababu nlishawahi pata lectures zake nikiwa udsm miaka hiyo na jamaa zangu wawili wamo humu. Miaka hiyo nafanya masters. Prof alikuwa na madini sana na tulimpenda.sema tu alianza naye kuingiwa na tamaa...otherwise angebak udsm aendelee kupiga pindis mbalimbali za historia na siasa pia.
Nampa pole nyingi Madame Helen umekaa sana Africa almost 40 years. Nadhani hautarejea AmericaPROMINENT Congolese scholar and former University of Dar es Salaam History lecturer Prof Ernest Wamba dia Wamba has passed away in Bunia, Democratic Republic of Congo.
Until Thursday morning, there were no more details about his death.
In 1980, the demised Wamba accepted a position as Professor of History at the University of Dar es Salaam in Tanzania.
He was arrested by the government of Mobutu Sese-Seko in 1981 over possession a paper he had authored that was deemed 'subversive', and was detained for a year.
The academician continued his role as a prominent figure in both academia and African politics.
Zina kuwa mtambuka!Sema tu akili zao ndio wanakua wameziacha kwingine
Hahahaha, Mkuu upoHahaha
Nampa pole nyingi Madame Helen umekaa sana Africa almost 40 years. Nadhani hautarejea America
James Wamba alikua anakaa mikocheni B ,MTU wa ngumi sasa ,anaupenda huu sana huo mchezoHivi Madame Elaine yupo DRC.
Nakumbuka, alibahatika kupata watoto watatu Phillipe Wamba(1971-2002) James Wamba na Kolo Wamba.
RIP Prof. Wamba deeply remembered by the then UDSM phylosophical club.
Huyu jamaa alikuja kusilimuJames Wamba alikua anakaa mikocheni B ,MTU wa ngumi sasa ,anaupenda huu sana huo mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app