Prof. Tibaijuka amjibu Jussa; adai Jussa amepotosha Wazanzibari

Na lingekuwa BLW limeshirikishwa katika maamuzi mazito kama haya hata Jusa asingeuliza na kumtia matatani Prof Tibaijuka?

Lakin pia Je Prof ana mandate yoyote kisheria kuiwakilisha Znz kuhusu mambo ya ardhi kimataifa?

Pitia katiba yenu ya Muungano uone alivyovunja sharia.


Kwani Tibaijuka alijipeleka mwenyewe UN au alitumwa na rais wa Muungano?. Hilo swali mpelekeeni rais wa Muungano ndio atawajibu Tibaijuka alikuwa na mamlaka gani kwenda UN. Yeye personally Tiba munamuonea tu. Au kwa kuwa ni mwanamke maana nyie watu mnaovaa suruali vipisi hamjambo kwa kukandamiza wanawake
 
Hapa cha kujiuliza.
Je Tibaijuka ana mandate kisharia kuweza kuiwakilisha Znz katika mambo ya ardhi kimataifa?
Someni katiba ya muungano muone mamlaka yake mwisho wapi? sio kukurupuka na kuongea kisiasa.

Ninavyojua kimataifa hakuna nchi ya Zanzibar ! Je, kimataifa ni wapi lilipo ardhi ya taifa la Zanzibar unayoiongelea? Kulingana na katiba ya muungano ni nani hasa ana mandate kisharia(?) kuiwakilisha Zanzibar kimataifa? Sidhani kama Pro. Tibaijuka anabanwa na sharia, au?
 
TOPIC KAMA HII NINAIPENDA SANA, MANAKE INATUFUMBUA MACHO SISI WATANGANYIKA BAADA YA MUDA MREFU KUDUMAZWA NA NYERERE NA CCM YAKE.

MAKATIBU WAKUU WA SERIKALI IPI WALOKUTANA; KAMATI YA WATAALAMU IPI? IMECHAGULIWA NA NANI HIZO KAMATI?

CABINET IPI?

WEWE TIBAIJUKA WACHA KUTAKA KUTUGOMBANISHA NA WAZANZIBARI; MNAFANYA MAMBO KINYEMELA MNAFIKIRIA WAZANZIBARI WAMELALA USINGIZI.

WAZIRI MZIMA HUJUI HATA STRUCTURE YA SERIKALI YA JAMHURI NA SERIKALI YA ZANZIBAR.

TANGEA LINI SENSITIVE ISSUE YA NCHI IKASHIRIKISHA TU MTAALAMU WA WIZARA (TG)

HATA WAZANZIBARI TUKITAKA KUWACHAGULIA RAIS BASI LAZIMA STEP ZOTE ZIFUATWE ZA KICHAMA, KAMATI KUU, HALMASHAURI KUU NK; SIO LEO SUALA LA NCHI KUAMULIWA NA INVITEE (TG)

UNAFAA UJIUZULU, KWASABABU HII NI CHANCE UMESHAWAPA WAZANZIBARI KUTOA USHAHIDI KIMATAIFA KAMA MNAPITISHA MAMBO BILA YA KUWASHIRIKISHA.

NAKUKUMBUSHIA YA PINDA; MWISHOWE IMEKUWA VIPI?

TUMSUBIRI MSANII WA KITANGANYIKA ATOWE HOTUBA YAKE YA MWISHO WA MWEZI.....

JINA LA SERIKALI UNAYOIFANYIA KAZI NI SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO (YENYE NCHI YA KUSADIKIKA [TANGANYIKA] NA NCHI YA ZANZIBAR)

TANGANYIKA HATUNA MPAKA WA BAHARI KUU; NA BAHARI KUU HAIJAWAHI KUWA YA MUUNGANO; SASA ULIENDA KUOMBA NYONGEZA WAKATI HATA BASIC HUNA; WAZANZIBARI WALIKUJA LINI KWAKO KUTAKA UKAWAOMBEE NYONGEZA.:wacko:

WACHA KUTUAIBISHA WATANGANYIKA KUAMBIWA WIZI KILA SIKU; TUMECHOKA KUITWA WIZI KWASABABU YA SIASA ZENU MBOVU.

WAOMBE RADHI WAZANZIBARI HARAKA; NA UWAJIBIKE.

KIKWETE NA WEWE UOMBE RADHI KWA NIABA YA WATANGANYIKA WOTE
 
[h=1][/h]Written by Mohammed Ghassany // 26/01/2012 // Habari // No comments

Prof. Abdul Sherrif

The controversy about the extension of the sea boundary has come at the right time when Zanzibaris have shown that they will no longer be hijacked when their vital national interest are at stake, regardless of party affiliation. It was rather disingenuous for Prof Tubaijuka to try to introduce party divisions when she claimed that CUF was claiming that Zanzibar was not consulted. If she heard the debate in the House of Representatives, it was almost unanimous, and prominent CCM backbenchers made a point of saying that this was not the question of CUF but of the whole of Zanzibar. She should not try to divide Zanzibaris again. We have suffered enough from such tactics.
It seems that mainland leaders feel that if you have a few Zanzibaris in your gang, then Zanzibaris are represented – and it is never difficult to get a few vibaraka, as we know all too well from our history. The question is whether the people in Zanzibar even knew this business was cooking – certainly the House of Representatives, a body that was elected by the whole people of Zanzibar, did not know about it until the professor was in New York presenting the document to the UN. I and many of my friends who try to keep up with events affecting our country were taken by surprise.
Prof Tibaijuka may be right that some people even in the Zanzibar Government may have been aware of this project, but the Minister of Lands in Zanzibar, Mr Shamhuna himself said in the House of Representatives that he know about it, but the Zanzibar Government did not know it officially. The Executive Summary of Tanzania’s submission to the UN has 2 long lists of institutions and people who were involved in this project, but mentions only Shamhuna’s Ministry of Lands out of 9 institutions, and only one State Attorney from Zanzibar out of 8 members of the Technical Core Group. Now Professor Tubaijuka mentions a few more names of Zanzibari ‘representative’, including my friend and former student Zakia Meghji, but if my memory serves me right, she used to be an MP for Moshi, and has never pretended to be representing Zanzibar except as a person who was born in Zanzibar. This is definitely a case of desperation in looking for Zanzibari faces.
But all this still does not cover the substantive issue involved. It is well known that Foreign Affairs is a Union matter, and therefore any dealings with the UN has to involve the Minister of Foreign Affairs, even if the exact issue involves only one side of our Union. There are plenty of cases when this has been done about issues concerning non-Union matters of Mainland Tanzania. Therefore, it is not a favour to Zanzibar that once in a while the Ministry of Foreign Affairs has to take up the case when Zanzibar’s interests are concerned – it is our right, iof we are part of the Union. The same applies to the defence of Tanzania’s territorial boundaries, which include the now extended boundaries in the Indian Ocean – that is its responsibility.
But this does not mean that the Union Government therefore becomes the owner of all the resources within the territorial boundaries of Tanzania. The Articles of Union had defined 11 Union Matters that came under the Union Government, and the sea is not one of them. Since 1964, the Union Matters have been increased to 22, illegally according to Prof. Shivji, but even in this extended list you will look in vain for the blue seas. It is for this reason that Prof. Tubaijuka is the Minister of Lands, Housing and Human Settlements Development (all non-Union matters), but the seas are not included. Why she was sent and not the Minister of Foreign Affairs is for the Union President to explain.
Therefore, it has to be admitted that since the oceanic resources are not a Union matter, but are of vital concern for the islands of Zanzibar which are surrounded by the sea on all sides, the people of Zanzibar have a direct stake in what is decided about their resources. And here it is not enough to mention a few names, however, highly placed they may be, and say Zanzibaris were represented.
The same argument was used in the case of the first draft of the Constitution Bill. Former Speaker Samuel Sitta claimed that Zanzibaris were consulted, naming the Zanzibar Minister of Good Governance and the AG, but it turned out that they were asked to submit their recommendations, but adopted only two out of 13, and threw the rest in the dustbin, and then went on to add many more without consulting even the Zanzibar Government.
Don’t they ever learn?
What the Representative Ismail Jussa was trying to do was to teach our Big Brother another lesson, and the mainland-based Swahili newspaper dares to ask him to apologise to Prof Tubaijuka? I think it is Prof Tubaijuka and the Union Government that need to apologise to the people of Zanzibaris for trying once gain to take us for a ride. But as the old politician Hasan Nassor Moyo told Samuel Sitta, the new generation in Zanzibar is not the same as the old generation of the 1960s, and will not say ‘hewallah bwana.’
Abdul Sheriff



www.mzalendo.net
 
Kwa nini wanamuandama Tibaijuka na hawataki kumuuliza bosi wake ambae ni raisi wa Jamhuru ya Muungano wa Tanzania. Kama alivyo sema yote yamefanyika kwa baraka za JK. Kama wana tatizo basi wamuulize JK.
 
Hawa wahindi mbona wanasumbua namna hii? Mwalimu angekuwa bado hai msingethubutu. Nyie ndio mnaowadanganya wazanzibari
 

Hii kitu inawezekana aisee! haiwezekani wawe na hasira na mjumbe badala ya kumkasirikia aliyewatuma.Ndo maana sasa hivi maadui namba moja wa Znz ni Sitta,Tibaijuka,Pinda,Lissu na Chadema in general.Now i got the point!
 
Kwa nini wanamuandama Tibaijuka na hawataki kumuuliza bosi wake ambae ni raisi wa Jamhuru ya Muungano wa Tanzania. Kama alivyo sema yote yamefanyika kwa baraka za JK. Kama wana tatizo basi wamuulize JK.
Mkuu

Ulipotelea wapi?

Unayosema ni kweli tupu. Huyu Prof. Shariff angeelekeza kombora lake kwa JK.

Ingawaje uswahilini wanasema " mkamatwa na ngozi ndiye mwizi mwenyewe"

Waziri Prof.Tibaijuka amekamatwa na ngozi yenyewe kwa hiyo, wanaanza na mkamatwa na ngozi.

Unakumbuka ile mada ya Katiba mpya ilipoanza na niliandika kuwa sasa tunafungua "pandora box"?

Unaelewa kuwa Sudan iligawanywa kutokana na mipango na ushawishi wa US-West kuleta Sudan, Sudan ya Kusini na pia kuna uwezekano wa nchi ya tatu, Dafur?
Kwa sababu gani? Sio mafuta vile?

Kama hatujaelewa ujanja wa wafadhili wetu wa vyandarua na bajeti yetu na kuchukua tahadhari na hatua, hili linchi letu linaelekea mabondeni.

Nimependa hatua ya JK na CHADEMA kukutana na kujadili mwelekeo wa Katiba mpya(kama JK hafanyi usanii)....kuna haja pia Upande wa Tanzania bara(Tanganyika) kukutana na upande wa Zanzibar kupembua Muungano uwe vipi!
 
Hii kitu inawezekana aisee! haiwezekani wawe na hasira na mjumbe badala ya kumkasirikia aliyewatuma.Ndo maana sasa hivi maadui namba moja wa Znz ni Sitta,Tibaijuka,Pinda,Lissu na Chadema in general.Now i got the point!
Mkuu myhem

Umeisoma hiyo makala ya Prof Shariff?
Kama mimi nimeifahamu, unajua tena ,kidhungu kinanipita kwa pembeni, ni kuwa ni waziri wa mambo ya nje ndio angewasilisha maombi hayo na sio Prof. Tibaijuka ambaye anashughulikia mambo ya Tanzania bara (Tanganyika)ambayo si mambo ya Muungano. Hilo ndio limewashitua Wazanzibari na wamechukulia kuwa wanaingizwa mjini kama ambavyo imeshakuwa ni kawaida sasa.(Ndio sababu hawataacha kulalamika)

Hapa udini tutaungiza sisi wa JF lakini jamaa wako serious, wameguswa sehemu nyeti.

Sisi Watz tunapowaeleza wazi EAC partners kuwa hakuna mjadala katika ardhi yetu. Kwa nini huwa tanafanya hivyo?

Je huwa tunafanya au kuingiza udini au ni kwa sababu ya kulinda maslahi yetu na urithi kwa vizazi vyetu?
 
Umeongea hadi kipovu kimekutoka lakini kwa bahati mbaya sana hukufahamika nini umekiwasilisha! Naona mwisho umejikata ulimi na kushindwa hata kuweza kuyatamka maneno vizuri! Kuna neno umeliweka hapo juu (UNGUKA), naomba maana yake! Sio lazma sote tuchangie mada zinazowekwa kama huna hoja hata kusoma tu inatosha.

TOPIC KAMA HII NINAIPENDA SANA, MANAKE INATUFUMBUA MACHO SISI WATANGANYIKA BAADA YA MUDA MREFU KUDUMAZWA NA NYERERE NA CCM YAKE.

MAKATIBU WAKUU WA SERIKALI IPI WALOKUTANA; KAMATI YA WATAALAMU IPI? IMECHAGULIWA NA NANI HIZO KAMATI?

CABINET IPI?

WEWE TIBAIJUKA WACHA KUTAKA KUTUGOMBANISHA NA WAZANZIBARI; MNAFANYA MAMBO KINYEMELA MNAFIKIRIA WAZANZIBARI WAMELALA USINGIZI.

WAZIRI MZIMA HUJUI HATA STRUCTURE YA SERIKALI YA JAMHURI NA SERIKALI YA ZANZIBAR.

TANGEA LINI SENSITIVE ISSUE YA NCHI IKASHIRIKISHA TU MTAALAMU WA WIZARA (TG)

HATA WAZANZIBARI TUKITAKA KUWACHAGULIA RAIS BASI LAZIMA STEP ZOTE ZIFUATWE ZA KICHAMA, KAMATI KUU, HALMASHAURI KUU NK; SIO LEO SUALA LA NCHI KUAMULIWA NA INVITEE (TG)

UNAFAA UJIUZULU, KWASABABU HII NI CHANCE UMESHAWAPA WAZANZIBARI KUTOA USHAHIDI KIMATAIFA KAMA MNAPITISHA MAMBO BILA YA KUWASHIRIKISHA.

NAKUKUMBUSHIA YA PINDA; MWISHOWE IMEKUWA VIPI?

TUMSUBIRI MSANII WA KITANGANYIKA ATOWE HOTUBA YAKE YA MWISHO WA MWEZI.....

JINA LA SERIKALI UNAYOIFANYIA KAZI NI SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO (YENYE NCHI YA KUSADIKIKA [TANGANYIKA] NA NCHI YA ZANZIBAR)

TANGANYIKA HATUNA MPAKA WA BAHARI KUU; NA BAHARI KUU HAIJAWAHI KUWA YA MUUNGANO; SASA ULIENDA KUOMBA NYONGEZA WAKATI HATA BASIC HUNA; WAZANZIBARI WALIKUJA LINI KWAKO KUTAKA UKAWAOMBEE NYONGEZA.:wacko:

WACHA KUTUAIBISHA WATANGANYIKA KUAMBIWA WIZI KILA SIKU; TUMECHOKA KUITWA WIZI KWASABABU YA SIASA ZENU MBOVU.

WAOMBE RADHI WAZANZIBARI HARAKA; NA UWAJIBIKE.

KIKWETE NA WEWE UOMBE RADHI KWA NIABA YA WATANGANYIKA WOTE


Acha kujichanganya mara useme ni Mzanzibari mara sijui Mtanzania Bara (Mtanganyika). Nani anataka kuwagombanisha. Mtu kufanya kazi yake aliyopewa na nchi unasema ugomvi? Inabidi ukapimwe akili kwani hata punguani ana nafuu.

Bila aibu unasema Tanzania Bara haina mpaka wa bahari sasa kama haina mpaka na bahari inayoigusa! Kwa taarifa kila nchi ambayo inapakana na bahari mpaka wake ni ndani ya bahari kwa umbali wa maili za kinutikali 12 yaani kilomita 22.2. Vilevile ina haki ya kuwa na Ukanda Tengefu wa Kiuchumi (UTK) wa maili za nutikali 200 yaani kilomita 370 kutoka kwenye ufukwe wake. Baada ya hapo yaweza kuomba kuongezewa maili za nutikali nyingine 150 kitu ambacho Mama Tibaijuka, kama mjumbe wa serikali, amefanya. Sasa hapo kuna kosa gani? Ni nchi ambaye ni mwanachama wa UM ndiyo inaweza kuomba ukanda ndivyo nchi yetu ilivyofanya na haki hii ni kwa pande zote za muungano.

Eti Zanziba haikushirikishwa wakati Waziri wake ameshirikishwa, wataalamu wake wameshirikishwa na kwa taarifa yako Sheria ya Eneo miliki la Bahari na Ukanda wa Kiuchumi ya mwaka 1989 inatoa mamlaka ya kufanya hivyo kwa serikali ya Muungano. Suala linalosemwa na Juha Jussa na wenzake wanaofikiria kwa kutumia makamasi ni upumbavu. Azimio la Baraza la Wawakilishi si Sheria ya Muungano wala haliwezi kuibadlisha Katiba ya nchi. Suala la mafuta na gesi liliingizwa kwenye mambo ya muungano na Bunge mwaka 1969 na aliyesaini sheria ya kuliingiza ni Raisi Karume mliyekuwa mnamlaani na hivi sasa Juha Jussa anamuona Shujaa. Sula hilo tu laweza kutoka katika mambo ya muungano kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano. Bunge litatakiwa lipokee hoja hiyo na ikubaliwe na zaidi ya mbili ya tatu ya wabunge wa kutoka bara na vivyo hivyo kwa wale wanaotoka Zanzibar. Hilo mpaka leo halijafanywa na Juha Jussa na wawakilishi wavivu wa kutumia akili kama yeye wanapiga kelele kama debe tupu.

Siku nyingine changia hoja kwa kutumia akili na si makamasi kama ulivyofanya.
 
Written by Mohammed Ghassany // 26/01/2012 // Habari // No comments

Prof. Abdul Sherrif

The controversy about the extension of the sea boundary has come at the right time when Zanzibaris have shown that they will no longer be hijacked when their vital national interest are at stake, regardless of party affiliation. It was rather disingenuous for Prof Tubaijuka to try to introduce party divisions when she claimed that CUF was claiming that Zanzibar was not consulted. If she heard the debate in the House of Representatives, it was almost unanimous, and prominent CCM backbenchers made a point of saying that this was not the question of CUF but of the whole of Zanzibar. She should not try to divide Zanzibaris again. We have suffered enough from such tactics.
It seems that mainland leaders feel that if you have a few Zanzibaris in your gang, then Zanzibaris are represented – and it is never difficult to get a few vibaraka, as we know all too well from our history. The question is whether the people in Zanzibar even knew this business was cooking – certainly the House of Representatives, a body that was elected by the whole people of Zanzibar, did not know about it until the professor was in New York presenting the document to the UN. I and many of my friends who try to keep up with events affecting our country were taken by surprise.
Prof Tibaijuka may be right that some people even in the Zanzibar Government may have been aware of this project, but the Minister of Lands in Zanzibar, Mr Shamhuna himself said in the House of Representatives that he know about it, but the Zanzibar Government did not know it officially. The Executive Summary of Tanzania's submission to the UN has 2 long lists of institutions and people who were involved in this project, but mentions only Shamhuna's Ministry of Lands out of 9 institutions, and only one State Attorney from Zanzibar out of 8 members of the Technical Core Group. Now Professor Tubaijuka mentions a few more names of Zanzibari ‘representative', including my friend and former student Zakia Meghji, but if my memory serves me right, she used to be an MP for Moshi, and has never pretended to be representing Zanzibar except as a person who was born in Zanzibar. This is definitely a case of desperation in looking for Zanzibari faces.
But all this still does not cover the substantive issue involved. It is well known that Foreign Affairs is a Union matter, and therefore any dealings with the UN has to involve the Minister of Foreign Affairs, even if the exact issue involves only one side of our Union. There are plenty of cases when this has been done about issues concerning non-Union matters of Mainland Tanzania. Therefore, it is not a favour to Zanzibar that once in a while the Ministry of Foreign Affairs has to take up the case when Zanzibar's interests are concerned – it is our right, iof we are part of the Union. The same applies to the defence of Tanzania's territorial boundaries, which include the now extended boundaries in the Indian Ocean – that is its responsibility.
But this does not mean that the Union Government therefore becomes the owner of all the resources within the territorial boundaries of Tanzania. The Articles of Union had defined 11 Union Matters that came under the Union Government, and the sea is not one of them. Since 1964, the Union Matters have been increased to 22, illegally according to Prof. Shivji, but even in this extended list you will look in vain for the blue seas. It is for this reason that Prof. Tubaijuka is the Minister of Lands, Housing and Human Settlements Development (all non-Union matters), but the seas are not included. Why she was sent and not the Minister of Foreign Affairs is for the Union President to explain.
Therefore, it has to be admitted that since the oceanic resources are not a Union matter, but are of vital concern for the islands of Zanzibar which are surrounded by the sea on all sides, the people of Zanzibar have a direct stake in what is decided about their resources. And here it is not enough to mention a few names, however, highly placed they may be, and say Zanzibaris were represented.
The same argument was used in the case of the first draft of the Constitution Bill. Former Speaker Samuel Sitta claimed that Zanzibaris were consulted, naming the Zanzibar Minister of Good Governance and the AG, but it turned out that they were asked to submit their recommendations, but adopted only two out of 13, and threw the rest in the dustbin, and then went on to add many more without consulting even the Zanzibar Government.
Don't they ever learn?
What the Representative Ismail Jussa was trying to do was to teach our Big Brother another lesson, and the mainland-based Swahili newspaper dares to ask him to apologise to Prof Tubaijuka? I think it is Prof Tubaijuka and the Union Government that need to apologise to the people of Zanzibaris for trying once gain to take us for a ride. But as the old politician Hasan Nassor Moyo told Samuel Sitta, the new generation in Zanzibar is not the same as the old generation of the 1960s, and will not say ‘hewallah bwana.'
Abdul Sheriff



www.mzalendo.net

I wish to take a great exception to what Professor Shariff wrote in the quoted article. The Professor is quibbling when he says that Zanzibar was not involved in the entire process of applying for additional 150 nautical miles of the United Republic of Tanzania from its EEZ. It does not need a genius to understand that at the time of the union between Tanganyika and Zanzibar, the seaward boundary was 12 nautical miles what is called territorial sea. This is a right of each coastal state. Following the union, they became one republic within internal boundary but with one known international boundary. In 1982, the United National Conveniton on the Law of the Sea (UNCLOS) was passed and it came into operation in 1994. Tanzania took an active part in its formulation and Mzee Warioba was the President of the Conference that passed it in 1982. The concept of EEZ was presented by the Kenyan delegation in early stages of protracted UNCLOS negotiations. Kenyan was supported by other East African nations and eventually the concept gained international acceptance. EEZ is an automatic right of coastal state and way back in 1989, the URT government declared to the rest of the world of its EEZ vide Act No. 3 of 1989. The President at the time if Professor Shariff's memory still serves him right was none other than Alhaji Ali Hassan Mwinyi, a Zanzibari and he assented to that Act. Professor Shariff should also remember that oil and gas matter were added into a List of Union matters in 1969 by an Act of Parliament assented to by Sheikh Abeid Amani Karume, and who at the time was the President of Zanzibar and the First Vice President of the URT.

Professor Shariff would have us believe that the Ministry of Foreign Affairs was not involved in the entire process! What was the Tanzanian UN Delegation doing? Wasn't the Permanent Rep of Tanzania and his officials at the UN present? Who made the arrangements for Professor Tibaijuka's delegation to present that application if it was not the Foreign Affairs Ministry? The Old Professor should not allow himself to sink so low and become a "Kijiweni person". I do not want to believe that his departure from the University of Dar es Salaam has been accompanied by the deterioration his of thinking and analytical capacity!

Sadly, the Old Professor seeks to defend the indefensible and render credence to Jussa's gibberish utterances. Oil and Gas are part of the List of Union matters and cannot be unilaterally removed from it by any side of the Union. The 2009 House of Representatives of Zanzibar Resolution over the removal of the two from the List is not the law of the URT and its passage did not remove oil and gas from that list. Under the current Union Constitution its the Union Parliament which has powers of amending the constitution. Any amendment that touches the List of Union Matters has to obtained more than a two-third majority from each side of the union. This has not been done. Under the circumstances whatever the jumpy Jussa and the Old Professor are talking is what should have been or should be and not what it is. For the benefit of the two and other jumpy Reps of the House of Representatives, a legal issue or dispute is resolved in accordance with the existing law and not under ones perception of what the law should be. What the law should be is the function of another arm of the state i.e. the parliament.

The Old Professor repeats the familiar refrain of those who argue that Zanzibar's rights have been and are being trampled on and on! It is rather sad when this is said by a person who should know better. Under the existing union framework Zanzibar has got its own government, parliament, and judiciary.Tanzania Mainland does not. Union MPs from Zanzibar take part in the Union Parliament, they deliberate and vote on non-union matters concerning Tanzania Mainland. MPs from Tanzania Mainland do not. Zanzibaris can run for parliamentary seat in the Mainland ala Dr. Hussein Mwinyi(Mkuranga 2000-2005) or be nominated for parliament as representative from any region of Tanzania as per his cited example of Mama Zakia Meghji. Those from the Mainland cannot do that.

Moreover, Professor Shariff has conveniently ignored to discuss the unpalatable facts of the the current union structure which allows one MP from Zanzibar to represent 12,000 people and to elected by not more than 4,500 electorates and enjoy attendant perks! This is not the case for his or her counterpart from the Mainland whose constituents average 160,000.

Professor Shariff feigns a wounded innocence on the demand made by the Mwananchi Newpaper's Editorial of January 26, 2012 that Rep. Jussa should muster the courage to apologize for the confusion he has caused. To him Jussa has nothing to apologize for all that he he did was to teach "Our Big Brother a lesson." Of course the Editor of Mwananchi was asking too much of Jussa, because it is the civilized i.e. gentlemen and ladies who apologize. To Professor Shariff, the jumpy Jussa and his comrades represent a new generation of Zanzibaris who cannot be bullied! It is a pity indeed, that the Old Professor could see in a falsehood peddler hope, courage, and change for Zanzibar! Surely, the late Sheikh Karume should be rolling in his grave!

It is this generation out of "jumpy thinking" that passed the 2009 amendment to the Constitution of Zanzibar of 1984 and defined its borders to mean those that existed before the union. A literal interpretation of that constitution amendment means that Zanzibar has not any right whatsoever over the EEZ and the Continental Shelf. The damage has been done and we, in the Mainland, who cannot continue to countenance the violation of our rights will stop Zanzibar from ever claiming any right over the EEZ because of that amendment. In law it is call the doctrine of estoppel. You cannot deny the truth of something you stated and made others to believe to be the case.

I rest my defense.
 
Serikali tatu au muungano ufe... Tuwape wa znz wanachohtaji ni haki Yao kuhoji lolote jambo linaligusa muungano , am sure tanganyika hatuto loose chochote .

mkuu, mimi na wewe huwa hatupatani kwenye mambo mengi, lakini hapa, nipo pamoja nawe kwenye hoja hii mahususi.
 
We need a second revolution in Zanzibar. Black majority are overwhelmed by Arab hegemony mpaka nao wanajiona waarabu. Kama wangewahi fika Arabuni wajue jinsi mtu mweusi anavyodharauliwa wala wasingesurppot upuuzi wa Jussa
 
quote_icon.png
By myhem


Hii kitu inawezekana aisee! haiwezekani wawe na hasira na mjumbe badala ya kumkasirikia aliyewatuma.Ndo maana sasa hivi maadui namba moja wa Znz ni Sitta,Tibaijuka,Pinda,Lissu na Chadema in general.Now i got the point!


Nonda:

Mkuu Myhem

Umeisoma hiyo makala ya Prof Shariff?

Kama mimi nimeifahamu, unajua tena ,kidhungu kinanipita kwa pembeni, ni kuwa ni waziri wa mambo ya nje ndio angewasilisha maombi hayo na sio Prof. Tibaijuka ambaye anashughulikia mambo ya Tanzania bara (Tanganyika)ambayo si mambo ya Muungano. Hilo ndio limewashitua Wazanzibari na wamechukulia kuwa wanaingizwa mjini kama ambavyo imeshakuwa ni kawaida sasa.(Ndio sababu hawataacha kulalamika)

Hapa udini tutaungiza sisi wa JF lakini jamaa wako serious, wameguswa sehemu nyeti.

Sisi Watz tunapowaeleza wazi EAC partners kuwa hakuna mjadala katika ardhi yetu. Kwa nini huwa tanafanya hivyo?

Je huwa tunafanya au kuingiza udini au ni kwa sababu ya kulinda maslahi yetu na urithi kwa vizazi vyetu?[/QUOT
E]



Ndugu Myhem na Nonda

Samahani kuingilia majadiliano yenu. Alichokisema Prof. Shariff ni upupu mtupu na nimetoa majibu juu ya maelezo yake. Ni kweli kabisa suala la mambo ya nje ni la Muungano na hivyo ili nchi yetu iwasiliane na kuhusiana na nchi nyingine ni lazima Wizara hiyo ihusishwe. Kule Umoja wa Mataifa tuna Ubalozi na huu ndio unatuwakilisha kule. Kama nchi mambo yote tunayofanya na serikali yetu katika Umoja huo yanaratibiwa na Ubalozi wetu na ndicho kilichofanyika kule. Ndiyo maana ujumbe wa Tanzania uliowasilisha maombi yale ulikuwa na Balozi Ombeni Sefue na Naibu Balozi katika Umoja huo ambaye ni Mzanzibari. Katika kuwakilisha maombi yetu Mama Tibaijuka na ujumbe wake walifanya hivyo kwa kivuli cha "Mambo ya Nje" naye alitumwa na Raisi kule kufanya vile. Mawaziri mbalimbali wa Wizara za nchi yetu huwakilisha nchi yetu katika masuala mbalimbali lakini kwa kivuli cha uhusiano wa kimataifa na haitakiwi eti Waziri wa Mambo ya Nje awepo.

Suala na udini linaletwa na wale wanaotaka kutuvuruga na kututenganisha ili waweze kupata upenyo. Hiyo ndiyo bangi yao. Nasi tumeiona. Kuomba ukanda wa ziada baharini katika eneo ambalo si letu kunaingizaje udini ndugu yangu? Je, si kwamba tunapigania masilahi ya vizazi vijavyo? Lakini Juha Jussa na matero wenzake wa Baraza La Wawakilishi wana lao jambo. Kufaulu kwao ni kuvunja muungano na kupata udini katika nchi yetu ili nasi tuvurugane. Ni lazima hilo lieleweke vizuri.

Kwa taarifa yako kwa mujibu wa mabadiliko ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 2009 Zanzibar imetangaza mipaka yake ni kama ile iliyokuwepo kabla ya muungano. Unaelewa hiyo ni ipi? Ni maili za nutikali 12 yaani kilomita 22.2 kutoka katika ufukwe wake basi. Wanaojifanya kujuha kama Jussa hawakuelewa nini walikuwa wanakifanya. Ni kwamba Zanzibar haina haki ya kuwa na Ukanda Tengefu wa Kiuchumi (UTK) ambao ni maili 200 za kinutikali au kilomita 370 kutoka ufukweni kwake achilia mbali Ukanda wa Nyongeza Baharini maili nyingine 150 (Kilomita 277.5) kutoka kutoka mwisho wa UTK. Huo ni uchambuzi wangu wa maana ya mabadiliko yao. Wanasheria wana kanuni moja ya kuzuia kubadilisha jambo ulilolisema na kuwafanya watu waamini kuwa ni kweli kwa kilatini ni kanuni ya "estoppel". Kwa mujibu wa mabadiliko hayo Zanzibar imeimbia Tanzania Bara, Kenya, Commorro, Msumbiji na mataifa yote duniani kuwa mipaka yake ni kama vile ilivyokuwa mwaka 1964 kabla ya kuungana na Tanzania Bara. Maana yake maboresho ya sheria za kimataifa za bahari ya mwaka 1982 yaliyoleta dhana za UTK na Ukanda wa Nyongeza wa Baharini haiyatambui na haiyajui kwani yenyewe inatambua haki yake ya maili 12 za kinutikali. Kama walivyosema wahenga, (naomba mniwie radhi) "Kuchamba sana mwishowe kushika mavi".

Nadhani tumeelewana.
 
LEO tumechapisha habari zinazomnukuu Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka akishangazwa na kauli iliyotolewa katika Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Mji Mkongwe kwa tiketi ya CUF, Ismail Jussa kwamba andiko lililowakilishwa katika Umoja wa Mataifa (UN) na waziri huyo kuomba eneo la ziada nje ya maili 200 za Ukanda wa Kiuchumi Baharini (EEZ) halikufanywa kwa niaba ya Serikali ya Muungano kwa madai kwamba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) haikushirikishwa.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri Tibaijuka alisema andiko hilo liliwasilishwa Januari 18 mwaka huu kama ombi la Serikali ya Jamhuri ya Muungano na kuongeza kuwa, SMZ ilishirikishwa kikamilifu tangu mchakato wa kuandaa mradi huo ulipoanza mwaka 2007.

Waziri alitoa kauli hiyo baada ya mwakilishi huyo kuwasilisha hoja binafsi katika Baraza la Wawakilishi mwanzoni mwa wiki, akilitaka Baraza kutolitambua andiko hilo lililowasilishwa UN na kuliomba liiagize SMZ kutojihusisha na mpango huo kwa namna yoyote kwa madai kwamba ni mpango wa kuhujumu eneo la bahari la Zanzibar. Mwakilishi huyo alikwenda mbele zaidi na kumtaka Waziri wa Ardhi, Ali Juma Shamhuna ajiuzulu, vinginevyo awajibishwe na Rais, huku akiungwa mkono na wajumbe waliosimama kuchangia hoja hiyo.

Tunampongeza Waziri Tibaijuka kwa uamuzi wake wa kukutana na waandishi wa habari jana na kuchukua muda mrefu kutoa ufafanuzi wa suala hilo ambalo tunadhani lingeweza kusababisha msuguano usiokuwa wa lazima kati ya pande mbili hizi za Muungano wetu. Tunasema hivyo kwa sababu tuhuma alizotoa mwakilishi huyo ni nzito mno pengine kuliko yeye anavyofahamu. Ndiyo maana tuhuma kama hizo zinapotolewa, serikali makini popote duniani hulazimika kuzijibu kwa ufasaha pasipo kuzibeza au kutoa majibu ya mkato kwa nia ya kuzificha chini ya zulia.

Hivyo ndivyo Waziri Tibaijuka alivyofanya na tunakubaliana naye kabisa aliposema alilazimika kutoa ufafanuzi wa kina kwa sababu pande hizo mbili za Muungano hazipaswi kugombea fito wakati nyumba inayojengwa ni ya wote. Moja ya sababu zinazotufanya turidhishwe na ufafanuzi wake ni pale alipotoa ushahidi wa namna Zanzibar ilivyohusishwa kikamilifu kupitia SMZ katika ngazi zote tangu 2007, kiasi cha kuibua mashaka kama kweli mwakilishi huyo wa Mji Mkongwe alipeleka hoja hiyo barazani kwa nia njema au alidhamiria kuwachafua viongozi wa pande hizo mbili za Muungano kwa kupeleka hoja iliyojengwa kwa misingi ya maneno ya mitaani?

Ufafanuzi wa Waziri Tibaijuka umetufumbua macho na sasa tumeelewa kwamba mchakato huo mkubwa na muhimu uliendeshwa na kamati mbalimbali zilizoundwa tangu mwaka 2007, ikiwamo kamati ya makatibu wakuu iliyoongozwa na Katibu Mkuu katika Wizara ya Maji, Nishati, Ujenzi na Makazi Zanzibar, Mwalimu Mwalimu na kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Upimaji Ramani, Haji Adam Haji ndiye aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi. Sasa tumejua pia kwamba Pandu Makame kutoka katika Ofisi ya Makamu wa Rais ndiye aliyeteuliwa kuwa mwenyekiti mwenza wa Kamati ya Utekelezaji.

Tumefarijika kusikia kutoka kwa waziri huyo kuwa, zoezi la kupima alama za sehemu ya bahari inayoombwa lililofanyika Januari mwaka jana, masheha wa Kiuyu, Maziwa Ng’ombe, Kojani na Vitongoji walioko katika Kisiwa cha Pemba walishirikishwa, huku wenzao wa Makunduchi katika kisiwa cha Unguja pia wakishirikishwa. Hata wakati wa kuwakilisha andiko hilo huko UN ujumbe wa nchi yetu uliwahusisha viongozi wa pande mbili za Muungano, akiwamo Mkurugenzi wa Sera na Mipango, Ayoub Mohamed Mahamoud.

Sisi wa Mwananchi tunajivunia rekodi yetu ya muda mrefu ya kutetea haki za wananchi wa Zanzibar pale tunapoona zinakiukwa. Lakini tumefadhaishwa na tuhuma hizo zilizotolewa dhidi ya SMZ na Serikali ya Muungano na mwakilishi huyo wa Mji Mkongwe. Tunamshauri apate ujasiri na kuomba radhi kwa Baraza la Wawakilishi, SMZ na Serikali ya Muungano kwa upotoshaji mkubwa alioufanya.

Source: Mwananchi


hivi jamani mungano zanzibar haimo au ukisema serikali ya jamuhuri ya mungano ya tanzania una maana ya tanganyika yetu mie jussa sikumuelewa kabisa au nilimuelewa ndivyo sivyo anamaana mungano urishakufa kabisa
 
Back
Top Bottom