Prof. Tibaijuka amjibu Jussa; adai Jussa amepotosha Wazanzibari

Kisharia zenu alitakiwa kuwasilisha ni waziri wa Mambo ya nje na mahusiano ya kimataifa. Kwani yeye ana mamlaka kisheria kuwakilisha mambo ya muungano katika shughuli za mahusiano ya kimataifa.

Tibaijuka amevunja sharia hapo.
Na ndipo tunapodai lazima awajibishwe na kujiuzuru
Nilikuwa sijui kama Tanzania inaongozwa kwa sharia!! asante kwa taarifa.
 
Kisharia zenu alitakiwa kuwasilisha ni waziri wa Mambo ya nje na mahusiano ya kimataifa. Kwani yeye ana mamlaka kisheria kuwakilisha mambo ya muungano katika shughuli za mahusiano ya kimataifa.

Tibaijuka amevunja sharia hapo. Na ndipo tunapodai lazima awajibishwe na kujiuzuru
Sharia ipi hiyo Barubaru. Itaje tukusaidie kupiga debe. Mpwao Jussa sio hilo la nani kawasilisha linalomsumbua. Katiba yetu ya JMT haina wizara za MUUNGANO. Katiba yetu inaitambua mipaka ya TANZANIA.
 
Jussa ni juha siku zote hana hoja ya msingi ana umimi mwingi kama mwenzie Maalim Seif ila mwisho wao ni mbaya sana.
 
Tusubiri tuone nani ataibuka kidedea!! Lakini nawaambia daima Wazanzibari wataendelea kuwa Walimu wenu kwa mambo mengi kwani wao hawana kawaida ya kukurupuka tu! Kama tulivyowafundisha ustaarabu wa kuwavalisha nguo hatutochoka kuwafunza mambo mengi kwani nyinyi ni 'ndugu zetu'! Kwa vile katika zengwe la Hamad Rashid mumegaragazwa vibaya sana pamoja na wanasheria na wanasiasa wenu vilaza sasa mumekuja na 'issue' nyengine! Time will tell....

Ni kweli kabisa aisee. Ni kweli. Wapemba hawakurupuki. Hili la Muungano ni bahati mbaya tu hawakujua,hivyo wakakurupuka!
 
Nilikuwa sijui kama Tanzania inaongozwa kwa sharia!! asante kwa taarifa.

Sharia ni kwa kiarabu, sheria ndo kiswahili chake. Lakini hakuna matatizo kuita sharia ukimaanisha sheria kwani neno hili limetoholewa kama yalivyo maneno mengine ya kiswahili. Kumbuka maneno mengi ya kiswahili yametolewa kutoka lugha tofauti tofauti na sasa tunayatumia kama ni msamiati rasmi ya Kiswahili.
 
Swala la jussa kuwapoteza wakilishi haliingii akilini.Hawa ni watu wazima na uwezo wa kujua jema na shari wanapochangia hoja.
 
Ni kweli kabisa aisee. Ni kweli. Wapemba hawakurupuki. Hili la Muungano ni bahati mbaya tu hawakujua,hivyo wakakurupuka!

Usijifiche kwenye kichaka cha njugu kwa kukimbia hoja wewe mnyaturu, au keyboard inaunguza! Naona unaleta herufi nusu nusu?
 
Kisharia zenu alitakiwa kuwasilisha ni waziri wa Mambo ya nje na mahusiano ya kimataifa. Kwani yeye ana mamlaka kisheria kuwakilisha mambo ya muungano katika shughuli za mahusiano ya kimataifa.

Tibaijuka amevunja sharia hapo. Na ndipo tunapodai lazima awajibishwe na kujiuzuru


Kweli we Shekhe.
 
Mama Tibaigana ni mwanazuoni ambaye pamoja na mambo mengine anfanya utafiti wa mambo yake kabla ya kuyapeleka kwenye ngazi stahiki...km ni muungwana nadhani Bwana Jussa ataomba tu radhi kwa kusababisha mkanganyiko usiokua na ulazima ilihali akijua kua anapotosha umma hasa ukizingatia kwamba alijua mchakato mzima tokea hatua za awali!
 
Jussa ni juha siku zote hana hoja ya msingi ana umimi mwingi kama mwenzie Maalim Seif ila mwisho wao ni mbaya sana.

Nimeweka makala hapo juu zisome halafu uzifanyie analysis ili utakapokuja mara nyengine uwe na hoja za msingi sio uletf matapishi kama .haya!
 
Hoja hujibiwa kwa hoja na sio kubwabwaja tu! Na hoja ya Jussa ipo wazi na wala haihitaji tochi, Tibaijuka angeisoma mwanzo ndio akajibu lakini nadhani tatizo mara nyingi Kiswahili sahihi ndio kinawapa tabu 'ndugu zetu'. Na ndio mara nyingi hua munajikuta mukiangukia pua!

Kama KIBARAZA cha mawaziri ZNZ na KIBARAZA cha wawakilishi hawakuwa na taarifa, ni kosa la TIBAIJUKA? Kuleni mtu wenu wenyewe, Shamhuna.Mlitaka huyo mama aje Maisara kuhutubia juu ya azimio hilo ilihali Wawakilishi wenu wamehusishwa kuanzia alfu? Hamumuoni Shamhuna kwa kuwa sio mbara eeeh!? Yaani nyie wanafiki sana na jehanamu inawasubiri.
 
Kama KIBARAZA cha mawaziri ZNZ na KIBARAZA cha wawakilishi hawakuwa na taarifa, ni kosa la TIBAIJUKA? Kuleni mtu wenu wenyewe, Shamhuna.Mlitaka huyo mama aje Maisara kuhutubia juu ya azimio hilo ilihali Wawakilishi wenu wamehusishwa kuanzia alfu? Hamumuoni Shamhuna kwa kuwa sio mbara eeeh!? Yaani nyie wanafiki sana na jehanamu inawasubiri.

Nina uhakika unajibu hoja kiushindani ila hujafatilia nini kinaendelea juu ya sakata hili! Maelezo yako yameonyesha udhaifu wako.
 
Sharia ni kwa kiarabu, sheria ndo kiswahili chake. Lakini hakuna matatizo kuita sharia ukimaanisha sheria kwani neno hili limetoholewa kama yalivyo maneno mengine ya kiswahili. Kumbuka maneno mengi ya kiswahili yametolewa kutoka lugha tofauti tofauti na sasa tunayatumia kama ni msamiati rasmi ya Kiswahili.
Sharia law, (Arabic: شريعة‎ šarīʿah, IPA: [ʃaˈriːʕa], "legislation"; also spelled shariah, sharīʿah;[SUP][1][/SUP] also known as Islamic law, قانون إسلامي qānūn ʾIslāmī ) is the moral code and religious law of Islam. Sharia is derived from two primary sources of Islamic law: the precepts set forth in the Quran, and the example set by the Islamic prophet Muhammad in the Sunnah. Fiqh jurisprudence interprets and extends the application of sharia to questions not directly addressed in the primary sources by including secondary sources. These secondary sources usually include the consensus of the religious scholars embodied in ijma, and analogy from the Quran and Sunnah through qiyas. Shia jurists prefer to apply reasoning ('aql) rather than analogy in order to address difficult questions.
 
Kisharia zenu alitakiwa kuwasilisha ni waziri wa Mambo ya nje na mahusiano ya kimataifa. Kwani yeye ana mamlaka kisheria kuwakilisha mambo ya muungano katika shughuli za mahusiano ya kimataifa.

Tibaijuka amevunja sharia hapo. Na ndipo tunapodai lazima awajibishwe na kujiuzuru

mkuu, kama kweli umeaoma kama unavyopenda kujinadi hapa jamvini, basi hiyo elimu yako haikusaidii kabisa.

Too cheap!
 
Kisharia zenu alitakiwa kuwasilisha ni waziri wa Mambo ya nje na mahusiano ya kimataifa. Kwani yeye ana mamlaka kisheria kuwakilisha mambo ya muungano katika shughuli za mahusiano ya kimataifa.

Tibaijuka amevunja sharia hapo. Na ndipo tunapodai lazima awajibishwe na kujiuzuru
wewe na Jussa ni mtu yuleyule?
 
Barubaru,

Ukiwa mwakilishi wa cuf jimbo la nchi ya oman, na mwanaharakati wa visiwa vya zenji, unahitajika hapa kumtetea jusa.
 
Tusubiri tuone nani ataibuka kidedea!! Lakini nawaambia daima Wazanzibari wataendelea kuwa Walimu wenu kwa mambo mengi kwani wao hawana kawaida ya kukurupuka tu! Kama tulivyowafundisha ustaarabu wa kuwavalisha nguo hatutochoka kuwafunza mambo mengi kwani nyinyi ni 'ndugu zetu'! Kwa vile katika zengwe la Hamad Rashid mumegaragazwa vibaya sana pamoja na wanasheria na wanasiasa wenu vilaza sasa mumekuja na 'issue' nyengine! Time will tell....
Makubwa! Kama wazanzibar ni walimu na bado haohao wanalia kila siku kuwa wananyonywa na Tanganyika, mara wanatawaliwa na watanganyika...!! Huo ualimu wa wala urojo si unawafaidisha? Kumbe kelele huwa ni za nini?! Haahaahaaa! mwalimu analia kuzidiwa kete na mwanafunzi!
 
Back
Top Bottom