Kashfa Mchanga wa madini; wafuatao nao wachunguzwe

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,339
29,138
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, sasa kila jambo lipo wazi kuwa tunaibiwa na tumeibiwa vya kutosha.

Napendekeza wafuatao waingizwe kwenye kurunzi la uchunguzi kwa sababu walisimama kidete kupinga hili jambo na kubeza uundwaji wa kamati.
  1. Zitto Zuberi Kabwe na wanasiasa waliotetea hujuma hii kubwa
  2. Vyombo vya habari (wachambuzi na waandishi wa makala)
  3. Richard Kasesera
  4. Aliyekuwa Katibu Nishati na Madini (Jairo)
  5. Mawaziri waliopitia wizara hii wote kuanzia 2005
  6. Ongezea orodha
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, sasa kila jambo lipo wazi kuwa tunaibiwa na tumeibiwa vya kutosha.

Napendekeza wafuatao waingizwe kwenye kurunzi la uchunguzi kwa sababu walisimama kidete kupinga hili jambo na kubeza uundwaji wa kamati.
  1. Zitto Zuberi Kabwe na wanasiasa waliotetea hujuma hii kubwa
  2. Vyombo vya habari (wachambuzi na waandishi wa makala)
  3. Richard Kasesera
  4. Aliyekuwa Katibu Nishati na Madini (Jairo)
  5. Mawaziri waliopitia wizara hii wote kuanzia 2005
  6. Ongezea orodha

Raisi mstaafu JK
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, sasa kila jambo lipo wazi kuwa tunaibiwa na tumeibiwa vya kutosha.

Napendekeza wafuatao waingizwe kwenye kurunzi la uchunguzi kwa sababu walisimama kidete kupinga hili jambo na kubeza uundwaji wa kamati.
  1. Zitto Zuberi Kabwe na wanasiasa waliotetea hujuma hii kubwa
  2. Vyombo vya habari (wachambuzi na waandishi wa makala)
  3. Richard Kasesera
  4. Aliyekuwa Katibu Nishati na Madini (Jairo)
  5. Mawaziri waliopitia wizara hii wote kuanzia 2005
  6. Ongezea orodha
Hao wote na wengi wa north pole ni wana mtandao.
Zitto ajitafakari km kweli neno uzalendo analotumia anamaanisha kweli.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, sasa kila jambo lipo wazi kuwa tunaibiwa na tumeibiwa vya kutosha.

Napendekeza wafuatao waingizwe kwenye kurunzi la uchunguzi kwa sababu walisimama kidete kupinga hili jambo na kubeza uundwaji wa kamati.
  1. Zitto Zuberi Kabwe na wanasiasa waliotetea hujuma hii kubwa
  2. Vyombo vya habari (wachambuzi na waandishi wa makala)
  3. Richard Kasesera
  4. Aliyekuwa Katibu Nishati na Madini (Jairo)
  5. Mawaziri waliopitia wizara hii wote kuanzia 2005
  6. Ongezea orodha
7:Marais wote waliopita
 
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, sasa kila jambo lipo wazi kuwa tunaibiwa na tumeibiwa vya kutosha.

Napendekeza wafuatao waingizwe kwenye kurunzi la uchunguzi kwa sababu walisimama kidete kupinga hili jambo na kubeza uundwaji wa kamati.
  1. Zitto Zuberi Kabwe na wanasiasa waliotetea hujuma hii kubwa
  2. Vyombo vya habari (wachambuzi na waandishi wa makala)
  3. Richard Kasesera
  4. Aliyekuwa Katibu Nishati na Madini (Jairo)
  5. Mawaziri waliopitia wizara hii wote kuanzia 2005
  6. Ongezea orodha
G Mallisa
 
Katika hili JPM anaingia kwenye orodha viongozi wazalendo wa kweli wa nchi hii! Kwenye orodha ya viongozi wazalendo wa kweli wa kwanza ni Mwalimu Nyerere wa pili ni Sokoine wa tatu ni JPM! Sikumbuki kama kuna wa NNE! Karibuni tukumbushane kama kuna wengine!
 
wachimbaji wadogowadogo wanawauzia wale maajenti wa wawanunuzi walioko dar. bei ya kununulia ni ile ya Dubai. jiulize kama mtu analipa kodi zote na anapitisha mzigo kihalali atapata Faida gani akimlipa muuzaji bei ya Dubai kule kijijini geita? kuna namna. My president leave no stone unturned. wizi siyo kwenye mchanga tuu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, sasa kila jambo lipo wazi kuwa tunaibiwa na tumeibiwa vya kutosha.

Napendekeza wafuatao waingizwe kwenye kurunzi la uchunguzi kwa sababu walisimama kidete kupinga hili jambo na kubeza uundwaji wa kamati.
  1. Zitto Zuberi Kabwe na wanasiasa waliotetea hujuma hii kubwa
  2. Vyombo vya habari (wachambuzi na waandishi wa makala)
  3. Richard Kasesera
  4. Aliyekuwa Katibu Nishati na Madini (Jairo)
  5. Mawaziri waliopitia wizara hii wote kuanzia 2005
  6. Ongezea orodha

Msanii,unadhani JPM anaweza kufukua MAKABURI??Maana kuna waliokuwa MARAIS humo!!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom