Ni kweli prof. Usiwe na hofu mbunge wangu na tutazidi kukupa kura zetu musoma vijijini mpaka utakapoamua kustaafu mwenyewe. Unatuwakilisha vizuri Sana wa mkoa WA mara
Alie mwambia anahusika atuambie uhusikaji wake kama mh.Nape alinyooshwa kwa kufuata sheria yeye kama waziri. Hapo JPM inampasa ajue yeye ndio kila kitu wengine wote ni delegates tu.
Hii mifuko inaonekana inapendwa sana na watu maana pesa za Escrow zilibebewa humo hata ile miili saba ya Mto Ruvu ilifungwa kwenye sandarusi. Hivi kiwanda chake kiko wapi na nani mmiliki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.