Don Moen
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 1,566
- 2,943
Mkuu, Muhongo hajawahi kuwa mwizi, ni muhanga wa siasa majitaka, vita yake ilianza alipowadhibiti madalali wa vitalu vya gas.Huo usafi aliupata lini?
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Mkuu, Muhongo hajawahi kuwa mwizi, ni muhanga wa siasa majitaka, vita yake ilianza alipowadhibiti madalali wa vitalu vya gas.Huo usafi aliupata lini?
Ndani ya ccm hakuna wa kumsifiaMkuu, Muhongo hajawahi kuwa mwizi, ni muhanga wa siasa majitaka, vita yake ilianza alipowadhibiti madalali wa vitalu vya gas.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Sio kweli, kuna watu waadilifu tu.Ndani ya ccm hakuna wa kumsifia
Kwa mtazamo wako lkn watanzania walio wengi hawana imani na ccmSio kweli, kuna watu waadilifu tu.
Kumbuka Muhongo hana siasa majitaka
Nikupe ukweli mkavu;Kwa mtazamo wako lkn watanzania walio wengi hawana imani na ccm
Kwahiyo EL leo yupo chama gani? mccm bhanaNikupe ukweli mkavu;
90% ya wabongo wote ni wezi, si upinzani wala ccm.
Hata cdm ikishika nchi ni hawahawa wananchi wataongoza nchi, ccm wengi watahamia cdm na maisha yatasonga.
Kumbuka 2015, cdm ilimchukua EL ambaye tulimwimba kuwa fisadi kuu...siasa kwa wanasiasa ni ajira watu, watanzania ni walewale.
Bro sijawahi na siwezi kuwa ccm, kwanini hatuupendi ukweli?Kwahiyo EL leo yupo chama gani? mccm bhana
Hivi nchi hii haina watu wengine ?
Habari inanuhusu Muhongo! unaweka picha ya Magu!
Jk mwenyewe hakumtaka mrudishe ww ssa kwenye chama chako km msafiBaadhi ya watanzania fitina sana, mpaka sasa ushangazwa sana na washauri walio mshauri Dk.Magufuli kumwachisha kazi Prof.Muhongo!! Yule MTU kichwa sana, anajiamini sana na anaheshimika kimataifa katika nyanja za taaluma ya jiolojia nk - mbobezi wa design ya Muhongo sio wa kuwekwa bench kwa lengo la ku-promote distant relatives na village mates. Binafsi ningemshauri Madam President amrudishe Prof.Muhongo kwenye kundi kwa manufaa mapana ya Taifa letu, repeat,Prof Muhongo ni asset kwa Taifa letu and not a liability - my opinion.
Inao watu wengi sana; lakini wateule wachache ndio hao. Polepole kawabatiza parallel state.Hivi nchi hii haina watu wengine ?