kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
Hata mimi nilimsikia Nahodha akisema hupaswi kusema ukweli kwa kilakitu, kunawakati ukisema ukweli unaweza kuvuruga usalama (amani ) ya nchi. Wanajaribu kukwepa hoja zilizo wazi za Tundu Lisu. Na leo amewakamata kweli.
Werema ni ziro kweli Kikwete ni kipofu kama mpaka sasa hajaona kuwa ana mwanasheria mkuu wa serikali ambaye ndiye mshauri na kiongozi mkuu wa sheria serikalini na hajui sheria au anatafsiri vibaya sheria za nchi, basi na kikwete mwenyewe ni zero.
werema kuonyesha ni sifuri, atajichanganyaje kuhusu sual la chenji ya rada!!!!, rada , mawasiliano ya anga, hali ya hewa ni masuala ya muuungano.Kama kuna fedha ilichukuliwa kununua rada ni wazi ilikuwa ni fedha ya muungano, iweje akubali rada ni suala la muungano, lakini fedha haikuwa ya muungano, huyu anajua sheria mpka amdharu prof shij ati ni mwadishi wa katiba na si mtaalamu wa sheria.werema mtupu sana.