The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
Vipi mambo Bado?
saa yangu inashangaza....
dakika nne zimeish, imeanza kuhesabu upya.
inafanya looping. sijui ni infinity loop? ngoja niendelee kukaunti tena....
Vipi mambo Bado?
Sasa mkuu ikiitishwa Press si kwanza zinaanza porojo kabla ya jambo lenyewe?
Hint yangu ilikuwa clear, kuna mtu anahamia CHADEMA leo; muda si mrefu atatajwa na kukabidhiwa kadi yake ya CHADEMA. Najua waandishi humo ndani hawajui, I can bet that
Sasa mkuu ikiitishwa Press si kwanza zinaanza porojo kabla ya jambo lenyewe?
Hint yangu ilikuwa clear, kuna mtu anahamia CHADEMA leo; muda si mrefu atatajwa na kukabidhiwa kadi yake ya CHADEMA. Najua waandishi humo ndani hawajui, I can bet that
Hii inanikumbusha sana siku hii:
saa yangu inashangaza....
dakika nne zimeish, imeanza kuhesabu upya.
inafanya looping. sijui ni infinity loop? ngoja niendelee kukaunti tena....
Sasa mkuu ikiitishwa Press si kwanza zinaanza porojo kabla ya jambo lenyewe?
Hint yangu ilikuwa clear, kuna mtu anahamia CHADEMA leo; muda si mrefu atatajwa na kukabidhiwa kadi yake ya CHADEMA. Najua waandishi humo ndani hawajui, I can bet that
Hiyo picha mkuu Invizibo sio ya Abdallah Safari kweli?
Wakuu ni hisia zangu tu, sitarajii mtu tofauti sana na hapo... Bado ni porojo zinaendelea, soon watatufahamisha NI NANI HASA HUYO! Au nini hasa sababu ya kuviita vyombo vya habariIs it prof Safari!!??
Sasa mkuu ikiitishwa Press si kwanza zinaanza porojo kabla ya jambo lenyewe?
Hint yangu ilikuwa clear, kuna mtu anahamia CHADEMA leo; muda si mrefu atatajwa na kukabidhiwa kadi yake ya CHADEMA. Najua waandishi humo ndani hawajui, I can bet that
Anxiously Waitingwaiting anxiously...