Prof. Safari ajiondoa CUF; Atafakari pa kwenda!

Aondoke tu kwa amani asiwaharibie wenye chama chao, kama angeshinda ile nafasi aliyogombea wakati ule akashidwa vibaya kweye topten za CUF angeondoka? Nafikiri kwa kuwa Prof. Safari ni mtu mwenye heshima zake si busara kuondoka kwa kuzua lawama kwa wenzake. Vyama vyote vinakasoro zake na hicho chama cha malaika anachosubiri kitokee hapa nchini kamwe hakitatokea hivyo nafikiri aendelee na shughuli zake za kila siku badala ya kuwatuhumu wenzake. Haya ndiyo mambo yanaodhoofisha vyama vya siasa na kuruhusu chama tawala kifanye kitakavyo. Kama amegundua kasoro ndani ya CUF angewasilisha maoni yake kwa kufuata taratibu zinazoeleweka pale inaposhindikana ndiyo aangalie uwezekano mwingine bila kuwaharibia wenzake.
 
Mnajua anataka kujiunga na chama gani?jamani jibuni kwa pamoja..........chadema????????????peoples........power..............
 
Jina lenyewe 'Safari' anamaanisha bado yupo safarini kisiasa.Kesho Chadema,keshokutwa NCCR,halafu Uozo kabla ya kutua CCM na kujifia.Yote maisha tuu.
 
Leo katangaza rasmi kujiondoa CUF akitaja sababu kadha wa kadha, ikiwemo hisia zake kuwa chama hicho kimepoteza mwelekeo wa kuwa chama cha kitaifa, malengo yakionekana kuwa kipaumbele ni Visiwani kwanza, bara baadae.

Kimepoteza mvuto na umaarufu kiliokuwa nao, kwa sababu ya kutojali watu makini kama vile akina James Mapalala, Kassanga Tumbo, W. Lwakatare, Akwilombe, Namata, Ramadhan Mzee, Kamara Kusupa n.k. Kimeshindwa kuvutia watu makini, wakiwemo wasomi kukiunga mkono, huku kikiwatupa au kuwasahau hata wazee kama vile akina Msobi Mageni.

Lakini kasema hana mpango wa kujiunga na chama chochote kingine cha siasa kwa sasa, mpaka hapo atakapoona au kupata chama chenye kutetea haki sawa na kioneshe kuwa chama cha kitaifa kwa dhati...kwa sasa, kwa mujibu wake, haoni,

"Siendi CHADEMA, sitaki kusema mambo yao hapa nisje nikatengeneza uhasama bure...lakini siendi huko...siendi CCM...bahati mbaya mimi naamini kuwa kiongozi bora Tanzania alikuwa Moringe Sokoine...najua mtajiuliza kwa nini namruka Mwalimu Nyerere, mimi ndivyo ninavyoamini, sasa hakuna mtu kama huyo nikafanye nini huko...mnajua jinsi CCM kilivyo sasa...lakini nitaendelea kuchangia, siasa ni maisha, dini zote zinazungumzia siasa, hata uislamu unazungumzia siasa...nitachangia yapo mambo mengi kama vile katiba mpya, mijadala ya udini..."

Kichapo alichopata wakati anagombea umwenyekiti CUF kinamtosha kuama chama kwani wanaCUF walimchinjia majini.
 
huyu professor amenishangaza sana aliposema kuwa ndani ya ccm hakuna mtu kama sokoine vinginevyo angeenda huko! mtu wa kiwango cha professor kusema haya inapasa kuomboleza kabisa. kumbe hata cuf alimwona sokoine kule ndo maana akaenda, sasa cuf wamempeleka wapi yule "sokoine" wa professor safari, au naye amekufa?
 
I personally am relieved that he has not joined CDM. That may have been a bit too soon. And it may have spelt problems for us.

But he has reminded me of some guy who during the last elections was contesting vide CCM in primaries. He was approached to join CDM so that he could run for MP's post.

He said 'subiri baada ya matokeo ya kura za maoni. And he lost. And CDM doors were closed. I had sworn if he steps on CDM door and anyone dared receive him I would just step out. He was an opportunist!!

Now back to Prof. He failed to build CUF to become a 'national party'. He didnt see a leader like Sokoine. He has left!

He doesnt want to build or participate in making a political party better. He wants a ready made product!! He wants a party that is ready!!

My advice to Prof, go start your own political party. That way you will recruit your Sokoines and those you highly think of. Just leave the other parties to grow!!

I feel very agitated to hear one with a cv like his talk as he did. He doesnt give solutions only pointing to problems. Stepping aside to watch until when he sees what he wants.

What will be his contribution to the growth of NCCR or CDM? I will not be suprised to hear or witness some parties courting him. That in my opinion is wrong. He should have and must feel the need to be part of a process. If he cant do that politics is not his cup of tea.

Now I am starting to understand why he couldnt tell the name of his branch secretary. He is and was very detached from the reality. He is acting as a giraffe majestically walking in a political game. The ground is only for him to stand on.

Until that day, until that special day when we leaders will understand and appreciate that the common man is our ally and friend this country will remain stagnant.

One can not wait until when all is done to join the band. All of us must participate in crafting and moulding the party we choose to be associated with. I will be part of CDM in its infancy stage. Let me do what I can do to help it grow. 20 years is still a young age for a political party in a country where illiteracy is still high!!

Prof. Safari, am wishing you all the best in your mythical search of a 'perfect political party'. I pray that you meet another Sokoine and team up to help this country. But remember, you have never given Tanzanians a solution and you have a debt to repay. You have untill now done them dis-service.

Enjoy your game watching on the side rails!!
 
Sokoine alipokufa nililia sana. Sikujua kwanini. Lakini baada ya hapo nimeendelea kujua ni kwanini nililia na kuhuzunika. For one he scarificed his life, gains and future for Tanzania in manner and gusto unseen since formation of Tanganyika.

I knew some of his kids, Lazaro, Joseph, Abraham, Namelo if I remember,; but I dont know how they're faring. Sadly he's marginalized first by Mwl. Nyerere & CCM in general.

Thanks Prof. Safari for ignite passionate memories of my hero, E.M. Sokoine (R.I.P.)

Na wewe statement zako hazina tofauti na za huyu Prof Safari ambazo hazieleweki! Hao watoto wa Sokoine kwa nini wasijitokeze kwenye siasa kama ni wanasiasa badala ya kusingizia marginalization?
 
Pia hakushindwa kuficha 'bitterness' aliyonayo juu ya kilichojiri katika uchaguzi ule mkuu ambapo anasema aliulizwa maswali ya kipuuzi, akabezwa, akadharauliwa, mchango wake ndani ya chama ukapuuzwa. Anasema alifukuzwa kazi yake serikali pale chuo cha diplomasia kwa sababu ya CUF 'kumbeba Prof. Lipumba ndani ya gari yake. Akakitetea chama pamoja na Lipumba mwenyewe kwenye kesi fulani hivi 2, ikiwemo ya huko Zakhem Mbagara, bureeee. Muda wote huo wengi walikuwa wamekaa kimya, pembeni. Lakini siku alipotaka kuwania uenyekiti, akaulizwa swali na Hamad "Nini mchango wako katika chama" anasema ni lilikuwa ni swali la kipuuzi.

Anadai pia kuwa CUF kuna usultani na ufalme, kuna vyeo ni kama vile taboo kuchukua fomu kugombea, watu wanakusakama, du!
 
huyu professor amenishangaza sana aliposema kuwa ndani ya ccm hakuna mtu kama sokoine vinginevyo angeenda huko! mtu wa kiwango cha professor kusema haya inapasa kuomboleza kabisa. kumbe hata cuf alimwona sokoine kule ndo maana akaenda, sasa cuf wamempeleka wapi yule "sokoine" wa professor safari, au naye amekufa?
Prof . atajibu kwenye press conf.
 
I personally am relieved that he has not joined CDM. ..........And it may have spelt problems for us.

.......... I had sworn if he steps on CDM door and anyone dared receive him I would just step out. He was an opportunist!!

My advice to Prof, go start your own political party. ......... But remember, you have never given Tanzanians a solution and you have a debt to repay.
MsandoAlberto

Totay Prof. Safari stepped in CDM's door, can you now step out of CDM or swallow your words. Najua wewe ni Diwani kwa tiketi ya CDM kama sikosei.
 
Bad timing! Kila mmoja atajua kuwa amenunuliwa na KANISA ili ku-balance mambo kwenye CDM. Atadharauliwa hata na nzi! Asubiri upepo wa udini upungue CDM

Wewe kweli ni Jesuit.............Umekuja hapa JF kueneza udini tu...Why dont you talk other things apart from udini...nahisi una matatizo yafuatayo;

  1. Unadhani hapa JF ni pahala pa kuleta utoto na ujinga usio na maana
  2. Nina mashaka na uwezo wako wa kusoma na kuchambua mambo..
Tafakari chukua hatua ya mabadiliko....
 
Back
Top Bottom