Pelle mza
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 3,050
- 1,692
Nasari aliunga mkono juhudi za Magufuli?Hahaha mmechoka kushinda bila kushindana, au mnaita kupita bila kupingwa?! Wakikimbia si ndio mnajitangaza mmepita bila kupingwa maana kuna vile vyama vinavyosimamisha wagombea kisha wanajitoa kwa kuunga mkono juhudi ili kubariki ubazazi wa ccm.