- Thread starter
- #161
3 August 2020
Dar es Salaam, Tanzania
Toka Mlimani City : mkutano wa Baraza Kuu wa Chadema:
Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA wamepiga kura kupendekeza nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwapigia kura ifuatavyo :
Dar es Salaam, Tanzania
Toka Mlimani City : mkutano wa Baraza Kuu wa Chadema:
Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA wamepiga kura kupendekeza nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwapigia kura ifuatavyo :
Wajumbe 442 wa Baraza Kuu wapiga kura :
Matokeo: Tundu Lissu 405 , Lazaro Samuel Nyalandu 36 na Dr. Mayrose Kavura Majinge 1.