Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Vyama vya siasa vina faida nyingi kwa taifa, ni vyema kwa vyama vya siasa hasa chama tawala kuelewa kuwa uwepo wa vyama vya upinzani ni msaada kwa taifa kwa kuwa ndiyo kama kioo cha kujitazamia.
___
Prof Rwekaza Mukandala,
Makamu Mkuu Mstaafu Chuo Kikuu cha DSM