nra2303
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 2,975
- 2,542
Kuwa Professor hakukuongezei busara zaidi ni cheo na mshahara! Huu ni unyonyaji wa waziwazi na huyu jamaa amfungulie kesi Mukandara kwa kupotosha umma na ampe hii kesi Lissu au Kibatala atapata haki yake.Udsm umekua taasisi km WAMA sasa,shameful ndio maana kitaaluma inazidi kupoteza muelekeo