Tarime-Mura
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 252
- 104
Mtt wake kaingia aje hapa tuweni waugwaniAlikuwa ana mtoto mmoja ambaye alikuwa akisomea degree ya udaktari wa meno miaka ya 2008/09 hapo Muhimbili. Dada yule Eliza alikuwa hajaumbika, lakini Mungu hakumsahau akamjalia nyodo... Mtoto wa waziri wa Sayansi na Teknolojia tena!!!