Akichangia hoja Fulani professor huyu aliwahi kusema CCM itatawala weweee, kuanguka ni labda baada ya miaka 50,na hii ilikuwa kauri yake katika bunge lililopita, nakumbuka nilimwonya kwa kauri hiyo nilimweleza kuwa huko kujiamini kwao kusivuke mpaka cos dramatic changes do happen, nikampa na mfano wa Meridian biao bank ilivyofungwa ni wateja asubuhi walikuta tu bank imefungwa kwa sababu imefirisika.
Pia nilimpa mfano wa mdogo wake Dr. Hamza Suleman Msolla naye akiwa ni Human resources Manager wa AMREF Tanzania alikuwa anajiamini atakuwa na cheo hicho hadi miaka 7 ijayo ni asubuhi moja tu alikuta barua mezani kwamba kazi hakuna sasa hivi anasaga unga na kuuza maji Tabata kimanga.
Sasa jana Prof. Peter Msolla kaangukia pua kura za maoni jimbo la Kilolo, pia CCM yake inafurushwa kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Octber 25.
Prof take my words.