Msiendelee 'kumlisha maneno' Mhe. Prof. Kabudi maelezo yake kwa kiingereza ni jumla na amejitahidi kuyakanusha, isitoshe ktk mahojiano yake ya kiswahili na hiyohiyo BBC amelijibu swali hilo hivyo kwa wanataka ukweli bila ushabiki wafungue:-Wewe umesikiliza BBC ipi? Kasema Azory amepotea na alishakufa.
Swali kumbe anajua alishakufa? Lini na kazikwa wapi. Nani waliomuua?