Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”

Wewe umesikiliza BBC ipi? Kasema Azory amepotea na alishakufa.
Swali kumbe anajua alishakufa? Lini na kazikwa wapi. Nani waliomuua?
Msiendelee 'kumlisha maneno' Mhe. Prof. Kabudi maelezo yake kwa kiingereza ni jumla na amejitahidi kuyakanusha, isitoshe ktk mahojiano yake ya kiswahili na hiyohiyo BBC amelijibu swali hilo hivyo kwa wanataka ukweli bila ushabiki wafungue:-
 
Kazae nae Mahiga wako

We kunguru haya toa tena povuhuyo kabudi wako aliokuwa akiongea utumbo huko kwa wahisani A,k,a mabeberu kuhusu swala la Azory,sasa wanapingana na waziri Mwakyembemwenye dhamana ya wizara ya habari
Walahi damu ya mtu haitamuacha mtu salama
 
hivi tanzania hakuna waandishi wenye Akili wenye uwezo wa kuhoji hili swala jamani
 
Msiendelee 'kumlisha maneno' Mhe. Prof. Kabudi maelezo yake kwa kiingereza ni jumla na amejitahidi kuyakanusha, isitoshe ktk mahojiano yake ya kiswahili na hiyohiyo BBC amelijibu swali hilo hivyo kwa wanataka ukweli bila ushabiki wafungue:-

Unasema amejitahidi kuyakanusha? Je kafanikiwa?
Ni punguani tu anaweza kukanusha kitu kilicho wazi. Afadhali angenyamaza kama hawezi kuomba radhi.
Atuonyeshe alikozikwa !
 
wakati akikiri alisahau kuwa ataulizwa na aliyemteua ghafla akakana matamshi yake
 
Binafsi sifurahishwi na namna Prof. Kabudi anavyotumia platform ya Uwaziri kuitukuza na kuikuza University of Dar es Salaam pekee. Sote tunajua kuwa alikuwa mwalimu pale, lakini hiyo haina maana kwamba sasa kila unapokuwa kwenye podium ni kuzungumzia UDSM pekee tu badala ya kuzungumza mambo ya msingi ya kitaifa. Tunaomba msitutengenezee ka syndiket ka wahitimu wa UDSM kuongoza Taifa hili pekee.
 
Akihojiwa na mtangazaji Zuhura Yunus wa BBC, waziri Kabudi amesema Tanzania kuna uhuru wa kutosha wa vyombo vya habari.

Alipoulizwa kuhusu kupotea kwa mwandishi Azory, Prof Kabudi amesema serikali inaendelea na uchunguzi.

Waziri amesema hali ya Kibiti na Mkuranga ilikuwa tete na haijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru wake.

Askari wa polisi, viongozi wa serikali za mitaa na viongozi wa chama tawala CCM waliuawa katika kadhia hiyo lakini kwa sasa amani imerejea na hali ni shwari.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia!

UPDATES;

Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”.

WAZIRI wa Mambo ya ndani Palamagamba Kabudi akiri mwandishi wa Habari Azory Gwanda alitoweka na kufariki, ikiwa ni zaidi ya siku 500 tangu kutoweka kwa mwandishi huyo wa habari za uchunguzi.

UPDATES;


Kabudi akana kusema kwamba alithibitisha Azory Gwanda alifariki, zaidi soma;



View attachment 1150947

Mbwa ya kisukuma ilimpitia
 
Back
Top Bottom