Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,451
- Thread starter
- #121
1. Kwanza sio Harris Kapiga, ni Hudson Kamoga.Mkurugenzi wa Hanang Haris Kapiga ana uzoefu Gani serikalini? Acha ukuda mamlaka ya Rais yana ukomo baadhi ya nafasi tu kwengine anatwanga tu
2. Sio Hanang ni Mbulu.
Kwa sasa mtu kuteuliwa mkurugenzi serikalini, sio lazima kuwa na uzoefu kivile, ile ilikuwa ni serikali ya analogia, sasa serikali ni ya kidigital, vetting ikisema yes, unateuliwa tuu.
Kamoga is good and he is doing fine.
P