Kifo cha Aboubakar Khamis Bakari kiliniuma sana.
Wamepiga kura tunazika eti?Profesa Omar Fakih Hamad ameshinda nafasi ya uwakilishi wa jimbo la Pandani kwa tiketi ya ACT-Wazalendo...
Ni pemba au unguja?Profesa Omar Fakih Hamad ameshinda nafasi ya uwakilishi wa jimbo la Pandani kwa tiketi ya ACT-Wazalendo...
Baada ya kuwasaidia wazee wa bao la mkono, 2020 wakamgeuzia kibao eti jecha sio Mtanzania.... inachekesha sana.Hivi jecha amestaafu eee
Mkuu fafanua hapo sjaelewa mwamba aliyewavusha 2015 leo s raia? CCM Haina rafk wa kudumuBaada ya kuwasaidia wazee wa bao la mkono, 2020 wakamgeuzia kibao eti jecha sio Mtanzania.... inachekesha sana.
Tumeshauzika Ubabe sasa HAKI italamaki Mshindi atangazwe
Kuna watu wanaomboleza hadi wanakufuru.Muumba fundi anakusudi lake tuyapokee maisha yasonge.Angekuwepo bwana yule. Huyo wa CCM angeshinda asilimia 100%
Nikulipe mshahara halafu umtangaze mpinzani?
Maajabu haya
Mahera alikuwa likizo nini?Naona wapindua meza walikuwa kwenye maombolezo!