Prof Nhonoli afariki - kimya! Wasomi hawathaminiwi

Bijou

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
1,219
335
Daktari bingwa na nguli katika tasnia ya afya amefariki na kuzikwa Arusha, ni katika madaktari wa mwanzo baada ya uhuru, na alifundisha madaktari wengi nchini. Pia alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Afya ya Afrika Mashariki na kusini kwa muda mrefu sana kabla ya kustaafu.

Alikuwa mkuu wa kwanza Mtanzania wa kitivo cha udaktari, mkurugenzi mkuu wa kwanza wa hospitali ya Muhimbili, Rais wa kwanza wa MAT etc etc ( ongeza unavyovijua)

Tanzania tuwajali na kuwaenzi wasomi wetu, R.I.P Professor
 
Wasomi wanajiharibia wenyewe hii nchi inashindwa kupiga hatua kwasababu yao,wao wanadhani kuwa PhD holder ndo baasi na wakati wanatakiwa kudevote muda wao kutoa elimu huko vijijini kama huyu Prof alitakiwa akasaidie watu kujua nini mabaya ya sera za afya kwa wazee,vijana n.k na nini watu wafanye ila tatizo lao wakishapata hizo titles wanahamia Obey na kusahau haraiki ya wanyonge wa nchi hii

R.I.P Prof.
 
Hatumuheshim na kumuenzi mtu kwa elimu alionayo au position alionayo bali ni nini amefanya kwa taifa cha kukumbukwa kupitia elimu aliyonayo au position aliokuwa nayo.
RIP Dr.

Soma maelezo yangu utaona mchango wake kwa taifa ni nini
 
Wasomi wanajiharibia wenyewe hii nchi inashindwa kupiga hatua kwasababu yao,wao wanadhani kuwa PhD holder ndo baasi na wakati wanatakiwa kudevote muda wao kutoa elimu huko vijijini kama huyu Prof alitakiwa akasaidie watu kujua nini mabaya ya sera za afya kwa wazee,vijana n.k na nini watu wafanye ila tatizo lao wakishapata hizo titles wanahamia Obey na kusahau haraiki ya wanyonge wa nchi hii

R.I.P Prof.

Huyu alisoma makerere na uk, ulimbukeni uliokuwepo kwa wasomi wa wakati ule, kama angeamua angebaki ughaibuni. Lakini alirudi kuja kuwatumikia watanzania. Amefundisha madaktari wengi hapa Tanzania, na hakuwa oysterbay, baada ya kutoka muhimbili alihamia arusha na ndiko alikofia na kuzikwa
 
Hivi yule bingwa wa upasuaji wa moyo ilikuwaje akafilisiwaaa?
out of context
large_OOC_logo_0.jpg
 
Tatizo hawa maprof wetu haawachagi hata documenyaries ama vitabu tungekuwa tunawatambua na tunawaenz kuptia maandko yao, sasa mi ukurugenz wake mhimbl ungenisaidia nini??? Wasomi wa tz badilikeni andiken kwa faida ya vizaz vijavyo, mi ndo namsikia hapa, anyway wacha niende wikipedia,

apepe!!
 
Rest In Peace Prof. Nhonoli! Mungu Awape faraja wanafamilia na wote walioguswa.
 
daktari bingwa na nguli katika tasnia ya afya amefariki na kuzikwa arusha, ni katika madaktari wa mwanzo baada ya uhuru, na alifundisha madaktari wengi nchini. Pia alikuwa mkurugenzi mkuu wa taasisi ya afya ya afrika mashariki na kusini kwa muda mrefu sana kabla ya kustaafu.

Alikuwa mkuu wa kwanza mtanzania wa kitivo cha udaktari, mkurugenzi mkuu wa kwanza wa hospitali ya muhimbili, rais wa kwanza wa mat etc etc ( ongeza unavyovijua)

tanzania tuwajali na kuwaenzi wasomi wetu, r.i.p professor

r.i.p Prof Nhonoli.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom