Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Ombi langu kwa viongozi wa serikali jamani tunapigwa penalty eti kisa nimechelewa kulipa Ada hii ni haki? Sisi Wengine watoto wa wasaka tonge tunakaa wapi izo pesa? Tembeleeni vyuo vya private mjaribu kusikiliza kero Za wanafunzi mtabaini uwonevu uliokithiri.. Daah. Aisee nimeongezewa 50000 adi Leo naifikiria naitoaje ili hali UE Bado inakera Sana.