Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,800
- 8,778
Aliyeharibu mfumo wa elimu Tanzania popote alipo endapo yupo hai ama yupo kwenye nyumba yake ya milele moto na adhabu ya mungu itawale juu yake.
Huu ni wizi wa hali ya juu inakuwaje mara baada ya kufunguliwa kuna gharama za kijinga sana katika shule hizi, serikali ipo wapi? Hii tabia isipokemewa itazalisha wajinga wengi. Soma kiambanisho cha ulipaji wa ada mara baada ya kumalizika gonjwa la korona...NDUGU MZAZI,KUFUATIA TAMKO LA KUFUNGULIWA SHULE. KWA DRS LA SABA(VII) UNATAKIWA KUKAMILISHA MALIPO YAFUATAYO:-ADA sh. 1,380,000/=,USAJILI WA MTIHANI WA TAIFA sh.15,000/=,MITIHANI YA UTIMILIFU(MOCKS) YA NDANI NA NJE sh. 15,000/=,VITINI VYA MASOMO YOTE(PAMPHLETS) sh. 50,000/=, GHARAMA YA VIFAA VYA KUJIFUNZIA sh.20,000/=. TAFADHALI,LIPA MAPEMA KWENYE AKAUNTI YA SHULE ILI KUEPUKA USUMBUFU. NAOMBA MAJIBU KAMA UMEPATA UJUMBE HUU.
Huu ni wizi wa hali ya juu inakuwaje mara baada ya kufunguliwa kuna gharama za kijinga sana katika shule hizi, serikali ipo wapi? Hii tabia isipokemewa itazalisha wajinga wengi. Soma kiambanisho cha ulipaji wa ada mara baada ya kumalizika gonjwa la korona...NDUGU MZAZI,KUFUATIA TAMKO LA KUFUNGULIWA SHULE. KWA DRS LA SABA(VII) UNATAKIWA KUKAMILISHA MALIPO YAFUATAYO:-ADA sh. 1,380,000/=,USAJILI WA MTIHANI WA TAIFA sh.15,000/=,MITIHANI YA UTIMILIFU(MOCKS) YA NDANI NA NJE sh. 15,000/=,VITINI VYA MASOMO YOTE(PAMPHLETS) sh. 50,000/=, GHARAMA YA VIFAA VYA KUJIFUNZIA sh.20,000/=. TAFADHALI,LIPA MAPEMA KWENYE AKAUNTI YA SHULE ILI KUEPUKA USUMBUFU. NAOMBA MAJIBU KAMA UMEPATA UJUMBE HUU.