Prof. Ndalichako angalia wizi huu

Rufiji dam

JF-Expert Member
Feb 20, 2020
3,800
8,781
Aliyeharibu mfumo wa elimu Tanzania popote alipo endapo yupo hai ama yupo kwenye nyumba yake ya milele moto na adhabu ya mungu itawale juu yake.

Huu ni wizi wa hali ya juu inakuwaje mara baada ya kufunguliwa kuna gharama za kijinga sana katika shule hizi, serikali ipo wapi? Hii tabia isipokemewa itazalisha wajinga wengi. Soma kiambanisho cha ulipaji wa ada mara baada ya kumalizika gonjwa la korona...NDUGU MZAZI,KUFUATIA TAMKO LA KUFUNGULIWA SHULE. KWA DRS LA SABA(VII) UNATAKIWA KUKAMILISHA MALIPO YAFUATAYO:-ADA sh. 1,380,000/=,USAJILI WA MTIHANI WA TAIFA sh.15,000/=,MITIHANI YA UTIMILIFU(MOCKS) YA NDANI NA NJE sh. 15,000/=,VITINI VYA MASOMO YOTE(PAMPHLETS) sh. 50,000/=, GHARAMA YA VIFAA VYA KUJIFUNZIA sh.20,000/=. TAFADHALI,LIPA MAPEMA KWENYE AKAUNTI YA SHULE ILI KUEPUKA USUMBUFU. NAOMBA MAJIBU KAMA UMEPATA UJUMBE HUU.
 
Hiki kilio kimekuwa kikubwa sana, nadhani ni wakati sasa mamlaka zijitokeze kusema neno, wasiache taasisi hizi binafsi zijiamulie zinachotaka kisa wanakusanya kodi.
 
shule zingine tumeambiwa tulipe Ada ya Shule kipindi cha corona na huku kipindi hicho shule zilikuwa zime fungwa Duuu
 
Hamna kosa lolote hapo..Cha msingi kama hunahiyo pesa kwa sasa jisalimishe uweke makubaliano na shule utalipaje hiyo fedha. Msainishane ili dogo amalize shule.
 
mkuu lipa ila fatilia hapo kwenye pamphlets baada ya mwezi au week 2 mwanao awe amepata hizo pamhphlets za maspmo yote tena zilizojitosheleza sio wanatoa macopy ya ajabu yenye gharama ya shs 2000.... Mjibu mkuu nimepata ujumbe nitajitahidi naimani nanyie mtajitahidi vifaa viwe tayari na vijitosheleze ndani ya week 2....asante
 
Back
Top Bottom