Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,119
Lakini kumbu kumbu zake za wanaohusika na scandals za Richmond na Escrow ziko intact.
Mkuu masopakyindi nina uhakika katika ulingo huu wa siasa haujaanza kufuatilia leo.Mwandyosa hapaswi hata kumnyooshea kidole kada yeyote yule kwa kumuita fisadi.Yeye ndie miongoni mwa waanzilishi wa ufisadi serikalini.Sakata la Alliance Air gazeti la RAI (miaka ya 90 -2000) lilianika kila kitu juu ya Mwandyosa na hakuwahi kukanusha.
Last edited by a moderator: