OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,080
- 103,312
Mtia nia wa urais CCM Prof.Mark Mwandosya amesisitiza kuwa watia nia wote wa urais wanaosakamwa na masakata hatari ya Richmond na Escrow ni lazima wakatwe kugombea urais.
Kumbukumbu zinaonesha kuwa kati ya wagombea Mh. Lowassa amewahi kukumbwa na sakata la Richmond hadi kupelekea kujiuzuru u-PM.Vilevile Prof. Muhongo alilazimika kujiuzuru kwa kashfa ya ESCROW.
Kumbukumbu zinaonesha kuwa kati ya wagombea Mh. Lowassa amewahi kukumbwa na sakata la Richmond hadi kupelekea kujiuzuru u-PM.Vilevile Prof. Muhongo alilazimika kujiuzuru kwa kashfa ya ESCROW.