Elections 2015 Prof. Mwandosya: Richmond na Escrow wakatwe urais CCM

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
48,776
102,138
Mtia nia wa urais CCM Prof.Mark Mwandosya amesisitiza kuwa watia nia wote wa urais wanaosakamwa na masakata hatari ya Richmond na Escrow ni lazima wakatwe kugombea urais.

Kumbukumbu zinaonesha kuwa kati ya wagombea Mh. Lowassa amewahi kukumbwa na sakata la Richmond hadi kupelekea kujiuzuru u-PM.Vilevile Prof. Muhongo alilazimika kujiuzuru kwa kashfa ya ESCROW.
 
Yeye Mwandosya alilipwa na Rwanda aitulize Tanzania kuhusu Bunge la EA kuhamia Kigali, pia Makao Makuu ya EA Business teyari wamehama na yeye atalipiwa matibabu ya Gonjwa lake India hadi anafariki, mfadhili ni Kagame.
Ununuzi wa Radar, yeye kachukuwa USD 200,000. Abishe vyote ili tufunguke zaidi.
 
huyu mzee nilizani amepona.wsshindane kwa hoja nasio kutafuta sababu za kumshambulia lowasa.CCM yote ni mafisadi.wanapotumbua mamilioni huku watoto wanakaa chini hili mwandosya halioni.lowasa ndie kiongozi aliyedhubutu kuonyesha anaweza
 
Sio Richmond na Escrow tu,Hata mkataba mbovu wa shirika la ndege la Alliance Air unahusika pia.Mwandosya sio ni fisadi tu bali ni mwizi asifikiri watanzania wanakumbukumbu fupi kama maisha ya inzi.
 
Yeye Mwandosya alilipwa na Rwanda aitulize Tanzania kuhusu Bunge la EA kuhamia Kigali, pia Makao Makuu ya EA Business teyari wamehama na yeye atalipiwa matibabu ya Gonjwa lake India hadi anafariki, mfadhili ni Kagame.
Ununuzi wa Radar, yeye kachukuwa USD 200,000. Abishe vyote ili tufunguke zaidi.
kwa style hii hata CCM-mimba atakuwa na kashfa
 
Sio Richmond na Escrow tu,Hata mkataba mbovu wa shirika la ndege la Alliance Air unahusika pia.Mwandosya sio ni fisadi tu bali ni mwizi asifikiri watanzania wanakumbukumbu fupi kama maisha ya inzi.
nitajie CCM mmoja msafi
 
Hii nchi ngumu sana,mhe ENL alijiuzulu tangu 2008 na kwa kuwa yeye ndie anasingiziwa kuwa fisadi namba moja nilitegemea kutosikia wizi/ufisadi serikalini.Lakini sasa hivi utadhani walisubiri atoke wachote.
 
Sio Richmond na Escrow tu,Hata mkataba mbovu wa shirika la ndege la Alliance Air unahusika pia.Mwandosya sio ni fisadi tu bali ni mwizi asifikiri watanzania wanakumbukumbu fupi kama maisha ya inzi.

Mzee anarusha mawe akiwa kwenye nyumba ya vioo? Si ajabu anajiona yeye ufisadi wake aliufanya uvunguni na watu hawajui.Haya sasa Mzee Mwandosya sema suuu watu waanze kutiririka na yako.
 
Hii nchi ngumu sana,mhe ENL alijiuzulu tangu 2008 na kwa kuwa yeye ndie anasingiziwa kuwa fisadi namba moja nilitegemea kutosikia wizi/ufisadi serikalini.Lakini sasa hivi utadhani walisubiri atoke wachote.

Hapo ndio nabaki nashangaa hata mimi hawa Watia nia wengine wa CCM,kila anaeongea anaimba Richmond,utadhani baada ya Lowassa ufisadi ulikoma.Hivi Pinda nayeye anaweza kunanga wenzie swala la ufisadi kweli?
 
Lakini kumbu kumbu zake za wanaohusika na scandals za Richmond na Escrow ziko intact.
Unaongelelea vipi hii hapa chini kuhusu Mzee Mwandosya kama ilivyoletwa na Mkuu Pharaoh

Yeye Mwandosya alilipwa na Rwanda aitulize Tanzania kuhusu Bunge la EA kuhamia Kigali, pia Makao Makuu ya EA Business teyari wamehama na yeye atalipiwa matibabu ya Gonjwa lake India hadi anafariki, mfadhili ni Kagame.
Ununuzi wa Radar, yeye kachukuwa USD 200,000. Abishe vyote ili tufunguke zaidi.
 
Last edited by a moderator:
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom