cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,757
- 73,414
Tulia wewee na ujenge hoja
Eeeeeh kituko.. nikujengee hoja na hayo ambayo umeandika tu na huna proof yoyote na wala polisi hawajamaliza kazi zao!!!! Utasubiri sanaaa
Tulia wewee na ujenge hoja
Mkia nusu bro..,Kutokuwa na washindani au washindani kuondolewa ktk biashara yeyote ni shida kubwa sana na unaweza kuua kabisa hiyo biashara maana wateja wote watatafuta njia nyingine mbadala tofauti na biashara yako mfano mwingine MWENDOKASI hapo Dar ni shida na wangejua wangeziacha zile daladala
Jikite katika kujenga hoja weweeEeeeeh kituko.. nikujengee hoja na hayo ambayo umeandika tu na huna proof yoyote na wala polisi hawajamaliza kazi zao!!!! Utasubiri sanaaa
Tatizo lenu mnadhani biashara ya ndege ni kama biashara ya supu ya pwezaDuh!!!!!
Kwa alichosema Prof.. hii haifanyiki kokote duniani.. hao wanaofanya hayo mmmmmmmh!
Hii ni kitu kibaya na mazoea mabaya sana kama wanafanya huu mchezo, huku tunasubiri ndege zaidi
Barabara zinaongezwa za rami.. wasipoangalia watu wataendesha na pia kuanza ya zamani kwenda nje ya nchi na kurudi nchini.
Imeisha hiyoTatizo ATCL walitoa ushindani....! Mbona shirika linachechemea na jpm yupo! Mfumo umewashinda?
Nimependa sana kaandika kwa lugha ya kibeberu ili mabeberu wajionee wenyeweMungu mbariki Mwandosya
Duh maendeleo ya VITU bila ya uwiano na ya WATU yana gharama kubwa sana!Maprofesa wa ukweli wakiona maji wanasema "maji" na si "kimiminika".
Wakiona giza wanasema "kuna giza" na siyo "hakuna mwanga".
Kwa Tanzania wamebaki wachache sana kwa sasa. Mmojawapo ni huyu Prof Mwandosya.
View attachment 1131648
Nyie ushindani wenyewe hamtakiDuh!!!!!
Kwa alichosema Prof.. hii haifanyiki kokote duniani.. hao wanaofanya hayo mmmmmmmh!
Hii ni kitu kibaya na mazoea mabaya sana kama wanafanya huu mchezo, huku tunasubiri ndege zaidi
Barabara zinaongezwa za rami.. wasipoangalia watu wataendesha na pia kuanza ya zamani kwenda nje ya nchi na kurudi nchini.
Eeeeeh kituko.. nikujengee hoja na hayo ambayo umeandika tu na huna proof yoyote na wala polisi hawajamaliza kazi zao!!!! Utasubiri sanaaa
....asije akasema akaunti yake twitter ilihackiwa.Maprofesa wa ukweli wakiona maji wanasema "maji" na si "kimiminika".
Wakiona giza wanasema "kuna giza" na siyo "hakuna mwanga".
Kwa Tanzania wamebaki wachache sana kwa sasa. Mmojawapo ni huyu Prof Mwandosya.
View attachment 1131648
Rudi shuleni ukajifunze kusoma na kuelewa.