UWEZO_WAKO
Member
- Nov 17, 2010
- 39
- 4
kwa maoni yangu Prof. Mwakyusa angeachwa aendelee na wizara ya Afya, japokuwa ni kimya naona kama aliimudu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Prof aliiweza sana ila labda wamemuona tishio kwa 2015. Ni mmoja wa watu safi wachache waliobakia.