Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

Kawaida ukishastaafu au kuondoka kwenye nafasi yako usipende kuongelea mambo ya ofisi uliyokuwa.

Ulishamalizana nao basi sababu wakikubana ukasema una ushahidi ukienda ofisini kuomba hata barua labda hawakupi. Si sahihi sana ukishatoka kuongelea mambo ya ofisi ulikokuwa achana nayo endelea na maisha mengine.

Hakika tunapitia kipind kigumu sana kuwahi kutokea ila ni mapito tu mkuu.
 
Binadamu wa sasa ile kitu inaitwa aibu hakuna kabisa.

Yaani mtu anaitisha press kumsuta marehemu ilhali anajua kabisa mhusika hayupo na hataweza kujitetea.
Mwendazake hakuwahi kujitetea kwa hoja ila kwa risasi.

Assad alilijua hill ndio maana alikaa kimya ili aje aseme sasa.
 
Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.

Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga.

Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua.

Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu.

===

Wakati nipo ofisini, katika vitu ambavyo ni vitu vitatu: niliomba SGR, niliomba document ya Air Tanzania upya na niliomba project ya Stiegler's Gorge -- feasibility studies. Na sikupewa hata moja. Nilichopata ilikuwa ni barua kwamba mwaka haujamalizika na kwahiyo ukaguzi wa hesabu si wakati wake.

Na kila mtu mwenye akili alikuwa anajua nilichokuwa nataka kufanya si ukaguzi wa hesabu, lakini ilikuwa ni technical response ya kusogeza muda na kuniondoa katika reli tu. Kwahiyo, mpaka nimeondoka ofisini I never got that information na mpaka sasa hivi sijatafuta na sijasoma.

Wewe ni kama mimi. I'm a private citizen now. Ikitokea taarifa hii ipo wazi, tutaisoma na tutatoa commentary.

View attachment 1749054
Miongon mwa waoga ni yeye.huon alikaa kimya Leo ndio anasema alinyimwa. KWA nini hakusema muda ule na kujiuzulu.Mnakatisha tamaa sana
 
Usitoe hasara nyingine hadharani tumechoka na lmetosha

Nchi hii wenye akili ndogo wanaongoza wenye akili kubwa
IMG-20210409-WA0055.jpg
IMG-20210409-WA0000.jpg
IMG-20210408-WA0130.jpg
 
Ulitaka ajipime ubavu na Rais au? Vitu vingine vinahitaji fikra yakinifu kabla ya kumu attack mtu.
Miongon mwa waoga ni yeye.huon alikaa kimya Leo ndio anasema alinyimwa. KWA nini hakusema muda ule na kujiuzulu.Mnakatisha tamaa sana
 
Miongon mwa waoga ni yeye.huon alikaa kimya Leo ndio anasema alinyimwa. KWA nini hakusema muda ule na kujiuzulu.Mnakatisha tamaa sana
Tundu lisu mlimpiga risasi 30 bado unataka na mwingine ajitokeze aseme ukweli?

Wapi yupo Azory gwanda jamani?

Wapi yupo ben saa8 jamani?

Nyiie tumieni mitutu sisi tutafunga na kuomba na hii ndio Dawa ya maraisi wakorofi nchini
 
Kama wasiojulika walifanya matukio ya wazi mbona humuwataji kwa majina ili kuisadia Serikali?,hivi unakuyakumbuka mauji ya albino na wachuna ngozi? Hayo matukio ni mabaya na yalileta gumzo duniani.Hawa wengine ulowataja huenda ni mambo ya kudhulumiana ktk biashara zao na unafiki ktk kazi zao.

-Chuna Ngozi - Ushirikina - Utajiri
-Kupigwa Nondo - Ushirikina - Ma Butcher
-Albino - Ushirikina - Utajiri

Wafanyabiashara Kuuwawa - TASK Force - Zakaria ndio alikuja kutegua Mtego ni kina nani hasa watekaji wafanyabiashara.
 
Tenda wema ili siku ukifa watu wasiongee shit juu yako.

Kama wewe ulutendewa fadhila jua kuna wenzako walitendewa ushetani na huyo mungu wako.

Sasa wanapotema nyongo usiwaone kama wanamsema vibaya.

Huo ndo ukweli.
We SHOGA UNIKOME! kama wewe unaabudu Binaadamu that's up to you usinisingizie uongo! MWENYEZI MUNGU HAKUZAA WALA HAKUZALIWA! KAFIRI MKUBWA wewe.
 
Naomba niambie basi ni vitu gani hivyo vipya vitafanyika katika hiyo plan mpya basi. Ukiweza hilo niko radhi kubadili msimamo wangu.

Sioni aibu kushabikia chama lakini Tambua kwa sasa mimi si mfuasi wa chama chochote na wala sijawahi hata kumiliki kadi ya chama chochote cha siasa. Itoshe kusema hivo.
ATCL.jpg



Moja kati ya uwekezaji kichaa tuliowahi kufanya ni huu wa ndege. Narudia ili MATAGA wasije kuninukuu vibaya. Sisemi kwamba hatukupaswa kufufua ATCL, ila tulitakiwa kabla ya kufufua tuwe na mkakati wa kujua shirika litajiendeshaje.

Lakini hatukufanya hivyo. Tumefufua ATCL kichwakichwa bila kuwa na mkakati wa kibiashara. Matokeo yake ndio haya tunayoyasikia kwa CAG sasa.

CAG anasema hakuna ndege ya ATCL inayoruhusiwa kuruka kwenye anga la kimataifa zaidi ya India ambapo tuna kibali. Tukienda hata hapo Sudani kwa maskini wenzetu tunakamatwa. ATCL inadaiwa na mamlaka ya usafiri wa anga kimataifa (ICAO) jumla ya TZS 57.4Bilioni ambapo 45Bil ni deni halisi na 12.4Bil ni riba.

Wakati huohuo ATCL inadaiwa Sh71.48 Bilioni na wakala wa ndege za serikali (TGFA) ambayo ni tozo ya kukodisha ndege na fedha ya akiba ya matengenezo. Jumla walikua wanadaiwa 79.62 Bilioni, lakini wamelipa 8.14 Bilioni, na hivyo kubaki na deni la 71.48 Bilioni.

Wakati huohuo mwaka jana ATCL imepata hasara ya 60 Bilioni kwa mujibu wa ripoti ya CAG. Kama haitoshi ndege za ATCL zikiharibika leo haziwezi kutengenezwa kwa sababu ATCL haijalipa 71.48 Bilioni ambazo ni gharama za matengenezo.

Kwahiyo tumenunua ndege ambazo haziruhusiwi kuruka nje (zaidi ya India, Chato na Nyakanazi . Zikiharibika hazitengenezeki, na zinajiendesha kwa hasara ya mabilioni ya pesa kila mwaka. Tukiulizwa tunajitetea eti mashirika yote ya ndege hupata hasara. Uzwazwa.!

Mwendazake alikua na nia njema ya kufufua ATCL lakini hakutaka kushauriwa. Yeyote aliyejaribu kumshauri aliitwa kibaraka wa mabeberu. Nia njema ya mwendazake ilikosa mpango mkakati.

Ni sawa na mtu ana nia ya kuwa daktari lakini hajui asome nini. Kutokana na kukosa exposure anakomaa kusoma Agriculture na Geography. Ukimshauri masomo sahihi ya kusoma anagombana na wewe. Anaamini unataka kumkwamisha asifikie ndoto zake.Mwishowe unamuacha aende anavyotaka. Akija kushtuka safari ya MUHAS imekufa anajikuta chuo cha ufugaji nyuki Tabora. Hiki ndicho kilichotokea kwa mwendazake. Kila aliyemshauri kwa nia njema aligombana nae. Akajikuta anaenda tu bila dira. Na matokeo yake ni haya yalioelezwa na CAG jana.!


By Malisa Godlisten
 
Hakuna mtu mpumbavu kama Prof. Assad. Kwanza asije kujidanganya kama yuko popular kiasi cha kutumika kuua heshima ya JPM. Ndiyo maana limekaa kama nguruwe pori hata umbo lake. Kwani nani hajuwi kama Assad anamchukia JPM hata kabla hajawa Rais? Huyu si ndiye alisemaga JPM siyo waziri na hafai kwa kuwa ni mjasiriamali wa kisiasa? Pamoja na sigida yake hana Mungu ni mpumbavu fulani.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
🤣🤣 mkuu umepanik sana. Umeacha mada unamrukia mleta mada. Aliyekwambia anahitaji kuna popular nani,huyo aliyekuwa popular leo hii anatafunwa funza huko
 
155 Reactions
Reply
Back
Top Bottom