misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,642
- 9,338
Ujajibu niliyokuuliza unauliza tena au wewe ndio unapenda kujibiwa? Uliza huyo porofesa wako na miradi ya kifisadi ya NSSF chini ya DAU kule kigamboni.Na siku zote nani alienda kumuuliza na leo kajipeleka kwenye vyombo vya habari ama vimemfuata!?
Heka moja kule kigamboni walikuwa wananunua kiasi gani