Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

Na siku zote nani alienda kumuuliza na leo kajipeleka kwenye vyombo vya habari ama vimemfuata!?
Ujajibu niliyokuuliza unauliza tena au wewe ndio unapenda kujibiwa? Uliza huyo porofesa wako na miradi ya kifisadi ya NSSF chini ya DAU kule kigamboni.

Heka moja kule kigamboni walikuwa wananunua kiasi gani
 
Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga
Huo u professor alipewa na nani⁉️

Kwahiyo hajui kuwa kuna expenditures hazikaguliwi⁉️
 
Ujajibu niliyokuuliza unauliza tena au wewe ndio unapenda kujibiwa? Uliza huyo porofesa wako na miradi ya kifisadi ya NSSF chini ya DAU kule kigamboni.

Heka moja kule kigamboni walikuwa wananunua kiasi gani
Kwanini hili la ndege na mnunuzi ambayo hayakupitishwa wala kuidhinishwa mnakwepa kujibu na kuyaongelea na mtu akiyaongelea anaonekana katumwa?

Acheni watu wapumuwe, tusaidieni uwazi na ukweli halafu hiki si kipindi cha kubwabwaja ni data tu.

Mkuu naomba unisaidie report ya CAG kama unayo kwa Pdf

Ulisoma report ya CAG ya mwaka 2015/16 na 2016/17

Majibu yako yako humo,

Sasa tusaidie na hili la sasa ili tujue hela zetu ziliingiaje na kutumikaje
 
Kwanini hili la ndege na mnunuzi ambayo hayakupitishwa wala kuidhinishwa mnakwepa kujibu na kuyaongelea na mtu akiyaongelea anaonekana katumwa?

Acheni watu wapumuwe, tusaidieni uwazi na ukweli halafu hiki si kipindi cha kubwabwaja ni data tu.

Mkuu naomba unisaidie report ya CAG kama unayo kwa Pdf

Ulisoma report ya CAG ya mwaka 2015/16 na 2016/17

Majibu yako yako humo,

Sasa tusaidie na hili la sasa ili tujue hela zetu ziliingiaje na kutumikaje
Mimi nilitarajia CAG angesema ndege ilikuwa inauzwa labda elfu kumi lakini ikanunuliwa kwa elfu 15 ili watu wapige 10 percent. Kama shida ni kufuata tu utaratibu wa manunuzi... tumsamhe tu maana alikuwa na muda mfupi sana kutekeleza ahadi zake. Asamehewe tu
 
Ni kweli kila awamu ina zama zake ila Matukio mengi ya wasiojulikana yalizidi sana awamu ya 5 hata kama yalikuwepo huko nyuma yalikuwa ya siri mno na ngumu kujua kama waliotekeleza wasiojulikana.

Awamu ya 5 wasijulikana walikuwa wanafanya mambo waziwazi mtu anapigwa risasi sehemu yenye ulinzi mkali na hakuna aliyekamatwa.

Ben anatekwa hadi kina zitto walivyofatilia polisi wakaambia sisi tumefikia hapa katika uchunguzi huko mbele hatupawezi maana waliomchukua ben ni "TEETH".

Watu walikuwa wanaokotwa kwenye viroba kila siku.

Wafanyabiashara walikuwa wanauawa na TASK force sema Zakaria ndio aliwafundisha adabu.




Kama wasiojulika walifanya matukio ya wazi mbona humuwataji kwa majina ili kuisadia Serikali?,hivi unakuyakumbuka mauji ya albino na wachuna ngozi? Hayo matukio ni mabaya na yalileta gumzo duniani.Hawa wengine ulowataja huenda ni mambo ya kudhulumiana ktk biashara zao na unafiki ktk kazi zao.
 
Mimi nilitarajia CAG angesema ndege ilikuwa inauzwa labda elfu kumi lakini ikanunuliwa kwa elfu 15 ili watu wapige 10 percent. Kama shida ni kufuata tu utaratibu wa manunuzi... tumsamhe tu maana alikuwa na muda mfupi sana kutekeleza ahadi zake. Asamehewe tu
Mkuu kama umejitahidi kuelewa na mwisho ukakomea hapo sina comment kwako

Naomba niendelee kusoma comments za wapenda uwazi na wenye kuruhusu akili kufikiri nje ya box
 
Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.

Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga.

Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua.

Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu.

===

Wakati nipo ofisini, katika vitu ambavyo ni vitu vitatu: niliomba SGR, niliomba document ya Air Tanzania upya na niliomba project ya Stiegler's Gorge -- feasibility studies. Na sikupewa hata moja. Nilichopata ilikuwa ni barua kwamba mwaka haujamalizika na kwahiyo ukaguzi wa hesabu si wakati wake.

Na kila mtu mwenye akili alikuwa anajua nilichokuwa nataka kufanya si ukaguzi wa hesabu, lakini ilikuwa ni technical response ya kusogeza muda na kuniondoa katika reli tu. Kwahiyo, mpaka nimeondoka ofisini I never got that information na mpaka sasa hivi sijatafuta na sijasoma.

Wewe ni kama mimi. I'm a private citizen now. Ikitokea taarifa hii ipo wazi, tutaisoma na tutatoa commentary.

View attachment 1749054
Huyu nae ni wale wale, busara ingemtuma kuendelea kukaa kimya angeendelea kuheshimika, sasa mbaya wake kaondoka ndio anapata kutoa yake ya moyoni?. Hawa maprofesa wote hovyo kabisa.
 
Profesa nae ameanza kujishushia heshima. Naona njaa imeanza kumuingia akilini Sasa ana jiposition ili mama amuone, amkumbuke kwenye Ufalme wake. Otherwise, amebaki Kubwabwaja tuu, anajipunguzia heshima. Mlioko karibu nae mwambieni awe mpole, Kichere ameshafunika Legacy yake. Kwa Sasa Kichere ndo CAG Bora, yeye akaendelee kulima Mboga mboga kisarawe na kula pension yake.
Hawa maprofesa wa Leo wanamatatizo makubwa, wamezoea kula kwenye siasa, taaluma zao zimewashinda, Sasa kutwa kujiposition ili walau wakumbukwe, warudishwe kwenye utukufu.
 
Prof Assad kuna jambo anatupa ishara hapa kuhusiana na hizo nyaraka kufichwa Ikulu, kwa wenye akili wanaelewa ishara anayotoa. Ametumia fasihi kusema ya kwamba aliziomba hizo nyaraka ila hakupewa zimefichwa Ikulu.

Na pengine marehemu alishazichoma moto kitambo au alizipeleka kwake "CHATO" kuzificha chini ya uvungu wa kitanda. Aligeuza nchi ya kwake peke yake.
Kwamba wewe unaamini kuwa CAG aliyepo amepewa nyaraka hizo na Mh Samia baada ya Magufuli kufa, akazifanyia kazi na kabla hata ya siku 14 akamaliza taratibu zote za kiukaguzi na kuwasilisha ripoti kwa raisi?

Kwamba amekagua mahesabu ya miaka mitano kama alivyosema? Unadhani hiyo ripoti ndio ingesomwa mbele ya Jiwe? Kama ndio, kwanini uamini kuwa alinyimwa nyaraka Assad, kama sio, ina maana ripoti iliyopikwa kwaajili ya kusomwa mbele ya Jiwe iko wapi?
 
Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.

Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga.

Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua.

Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu.

===

Wakati nipo ofisini, katika vitu ambavyo ni vitu vitatu: niliomba SGR, niliomba document ya Air Tanzania upya na niliomba project ya Stiegler's Gorge -- feasibility studies. Na sikupewa hata moja. Nilichopata ilikuwa ni barua kwamba mwaka haujamalizika na kwahiyo ukaguzi wa hesabu si wakati wake.

Na kila mtu mwenye akili alikuwa anajua nilichokuwa nataka kufanya si ukaguzi wa hesabu, lakini ilikuwa ni technical response ya kusogeza muda na kuniondoa katika reli tu. Kwahiyo, mpaka nimeondoka ofisini I never got that information na mpaka sasa hivi sijatafuta na sijasoma.

Wewe ni kama mimi. I'm a private citizen now. Ikitokea taarifa hii ipo wazi, tutaisoma na tutatoa commentary.

View attachment 1749054
We Assad ulie tu. Umedanganywa na ZZK kwamba kazi yako ni mpaka ustaafu ukalewa ukasahau kusoma terms of reference za ajira yako yakakukuta yaliyokukuta. Pole sana . Nasikia wewe ni DVc chuo kikuu cha Kiislam. Majuto mjukuu yahe. Unataka kuwaaminisha kuwa CAG mpya alipewa hizo nyaraka ulizonyimwa wewe baada ya JPM kufariki. Ni juha tu atakubaliana na wewe. Katika kipindi kifupi hakifika hata mwezi ukaguzi ufanyike na ripoti zitoke kwa mirad mikubwa kama hiyo??
 
Alipaswa kujiuzuru immediately.

Kama umepewa kazi flani ufanye halafu ukanyimwa vitendea kazi, hapo utakua unafanya kazi gani? Unapaswa kuachana nayo haraka.

Sasa yeye hakujiuzuru halafu anakuja kulia lia hapa. Hizi ni chuki tu za kufumuzwa u cag.
Profesa anakuja kuongea wakati Bosi wake ameshafariki dunia. Unafiki ule ule tu.
 
Mbona alikuwa kmy muda wote, kumbe naye mnafiki kama wengine

Ulisha fanya kazi jishini,polisi au serekalini unajua maana ya vyeo kuna mda unaweza kutulizwa kutokana na ngazi kwa vile hipo juu.dai katiba maana raisi kapewa madaraka makubwa ya mungu mtu
 
Kawaida ukishastaafu au kuondoka kwenye nafasi yako usipende kuongelea mambo ya ofisi uliyokuwa.

Ulishamalizana nao basi sababu wakikubana ukasema una ushahidi ukienda ofisini kuomba hata barua labda hawakupi. Si sahihi sana ukishatoka kuongelea mambo ya ofisi ulikokuwa achana nayo endelea na maisha mengine.
Tu endelea kupigwa siyo..
 
Kwanini hili la ndege na mnunuzi ambayo hayakupitishwa wala kuidhinishwa mnakwepa kujibu na kuyaongelea na mtu akiyaongelea anaonekana katumwa?

Acheni watu wapumuwe, tusaidieni uwazi na ukweli halafu hiki si kipindi cha kubwabwaja ni data tu.

Mkuu naomba unisaidie report ya CAG kama unayo kwa Pdf

Ulisoma report ya CAG ya mwaka 2015/16 na 2016/17

Majibu yako yako humo,

Sasa tusaidie na hili la sasa ili tujue hela zetu ziliingiaje na kutumikaje
La kuuziana nyumba za NSSF vipi?
 
Kawaida ukishastaafu au kuondoka kwenye nafasi yako usipende kuongelea mambo ya ofisi uliyokuwa.

Ulishamalizana nao basi sababu wakikubana ukasema una ushahidi ukienda ofisini kuomba hata barua labda hawakupi. Si sahihi sana ukishatoka kuongelea mambo ya ofisi ulikokuwa achana nayo endelea na maisha mengine.
Kwa maana hiyo sina hata sifa za kutoa ushahidi mahakamani kama Kesi inaihusu Ofisi niliyo wahi kuifanyia Kazi?
 
Back
Top Bottom